Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
- Thread starter
- #21
Hafai yule,kwanza sio mkweli,alituambia kwamba rais amebariki posho kwa wabunge wakati sio kweli,pili hajaolewa,tatu ametumika sana hivyo akili imeshachoka,maana yupo bungeni kwa zaidi ya miaka 36,.hana jipya..tunataka chama kipya,sera mpya,mikakati na utendaji mpya,,
Mkuu hata mgombea wetu wa CDM ana asilimia 80 ya sifa hizi ulizozitaja, lakini hatuishi kumpigia chapuo hapa JF kila siku