Upotovu wa maadili kwa wanawake wenye ujauzito

Hayo ni matokea ya haki sawa , mifumo dume ilikuwa inamlinda sana mwanamke
 
Wacha wee,,,hao ndio African!sio siku hizi mtu huyohuyo mmoja chupi,skin tight,shumizi,sidiria,gauni lenye lining kwa ndani na hili joto Sasa weweeeee kijasho chake!😁
Hivi mnavaaga hivi vyote kwa wakati mmoja kweli!..😳😳😳 hadi hiyo shumizi hii simnavaa wakati wa kulala na zilikua zamani kidogo early 80’s nilikua naona baadhi ya wa mama asubuhi bado wamevaa na kujifunga kitenge kiunoni huku wakiendelea na usafi 🤣🤣🤣🤗
 
Nafikiri tutapoteza sana muda kuulizana maswali ya aina hiyo.....mi kwa sasa nakaribia miaka 30, sasa nakumbuka miaka ya nyuma kidogo nilikuwa napenda sana nikiingia mtaani nikutane na wanawake wakiwa na nguo za ovyo, na nilikuwa nafurahi sana kuona baadhi ya maungo ya wanawake yakiwa nje nje...

Kwa sasa naanza kuona ni Jambo la aibu sana kwa mwanamke kuvaa nguo ambayo asilimia kubwa ya mwili ipo nje, sasa najiuliza, kuna uwezekano we una miaka zaidi ya 40, sasa inakuwaje bado unaona ni poa tu mwanamke akiwa na mavazi ya nusu uchi Kisha akapiga picha na kupost?

Je, ungependa uone binti yako apige picha ya hivo, vipi mkeo nae, vipi mama yako? Ungependa kuona wat
Mkuu,

Utupu ni nini? Tuanzie hapo kwanza.

Swaziland wanawake wanatembea matiti nje, ni utamaduni wao, je, na wao wanatembea utupu?

u hao muhimu kwako wapige picha za kujidhalilisha au unapenda uone za watu wengine na si hao!?
 
Hivi mnavaaga hivi vyote kwa wakati mmoja kweli!..😳😳😳 hadi hiyo shumizi hii simnavaa wakati wa kulala na zilikua zamani kidogo early 80’s nilikua naona baadhi ya wa mama asubuhi bado wamevaa na kujifunga kitenge kiunoni huku wakiendelea na usafi 🤣🤣🤣🤗
🤣🤣🤣🤣Eeeh wewe unazijua shumizi,Kuna watu waume zao wakali lazima wavae hizo
 
Acheni ujinga wa kufatilia maisha ya watu...

hizo picha mnalazimishwa kuangalia?

acha wafurahie mimba zao.
Mambo ya kulazimishana tamaduni ni ujinga na ujima.

Ishi maisha yako.
 
Nafikiri tutapoteza sana muda kuulizana maswali ya aina hiyo.....mi kwa sasa nakaribia miaka 30, sasa nakumbuka miaka ya nyuma kidogo nilikuwa napenda sana nikiingia mtaani nikutane na wanawake wakiwa na nguo za ovyo, na nilikuwa nafurahi sana kuona baadhi ya maungo ya wanawake yakiwa nje nje...

Kwa sasa naanza kuona ni Jambo la aibu sana kwa mwanamke kuvaa nguo ambayo asilimia kubwa ya mwili ipo nje, sasa najiuliza, kuna uwezekano we una miaka zaidi ya 40, sasa inakuwaje bado unaona ni poa tu mwanamke akiwa na mavazi ya nusu uchi Kisha akapiga picha na kupost?

Je, ungependa uone binti yako apige picha ya hivo, vipi mkeo nae, vipi mama yako? Ungependa kuona wat


u hao muhimu kwako wapige picha za kujidhalilisha au unapenda uone za watu wengine na si hao!?
Jamii masikini zimejikita sana katika mambo ya kulinda aibu za wanawake, kulinda bikira etc.

Halafu wanaosema hivi mara nyingi ni wanaume, kama wanawake wenyewe hawawezi kujisemea.

You are just being a Tanzanian Taliban man.
 
Mimi naona mnawanyanyapaa wanawake tu.

Wakuu mkitaka kuishi kizamani mtaweza kuacha kuingia JF?

Maana JF nayo zamani haikuwepo.

Hii hoja ya "zamani ..." haina mashiko.

Zamani kulikuwa na utumwa na ukoloni.

Mnataka kurudisha utumwa na ukoloni pia?

Hao wanawake wanaweza kusema hawako uchi, nyie ndio mna mawazo ya kizamani ya kuona mwili wa mwanamke karibu wote ni uchi. Nyie ndiyo mna matatizo, si wao.

Wanaweza kusema mimba ni kitu cha kawaida, karibu kila mtu kaja hapa duniani kwa mimba (unless you are a test tube baby).

Wanaweza kusema mimba ni kitu cha neema, kitu cha baraka, kitu cha kusherehekea, kwa nini mnawasimanga kwa jambo la heri?

Yani wanaotoa mimba mnawasema vibaya, na wasiotoa mimba wanao promote kuzaa nao mnawasema vibaya pia?

Hivi mnajua hawa wanawake wengine wanatamani sana mimba, wanaona fahari sana kupata mimba, na wanataka kutangazia dunia wanavyojisikia raha kuwa na hizo mimba?

Kwa nini mnataka kuwakatili katika furaha zao?

Sasa mwanamke kuonesha mimba tatizo liko wapi?

Kama hupendi kuona hizo picha, usiangalie tu.

Kwani umelazimishwa kuangalia?
Acha upumbavu na fikra potofu ww
 
Acheni ujinga wa kufatilia maisha ya watu...

hizo picha mnalazimishwa kuangalia?

acha wafurahie mimba zao.
Mambo ya kulazimishana tamaduni ni ujinga na ujima.

Ishi maisha yako.
Watu wanataka kuishi maisha ya kuwa control wengine, wakati hata maisha yao wameshindwa kuya control.

Yani mimi niache kufanya kazi zangu, nihangaike na wanawake nisiowajua kwa sababu wamepiga picha za kujifurahisha na vitumbo vyao?

Tena mwanamme mzima?

Si ndio mwanzo wa mwanamme kuambiwa unawaonea gele wanawake, ulitaka wewe upate mimba!
 
Watu wanataka kuishi maisha ya kuwa control wengine, wakati hata maisha yao wameshindwa kuya control.

Yani mimi niache kufanya kazi zangu, nihangaike na wanawake nisiowajua kwa sababu wamepiga picha za kujifurahisha na vitumbo vyao?

Tena mwanamme mzima?

Si ndio mwanzo wa mwanamme kuambiwa unawaonea gele wanawake, ulitaka wewe upate mimba!
Mkuu, jamii zetu bado zinaishi kijima sana.

Mtu anataka kuingilia maisha binafsi ya mtu mwingine kwa kigezo cha maadili na kulinda utamaduni!!

Damn it!
 
Mkuu, jamii zetu bado zinaishi kijima sana.

Mtu anataka kuingilia maisha binafsi ya mtu mwingine kwa kigezo cha maadili na kulinda utamaduni!!

Damn it!
Ukiuliza hayo maadili tulikutana lini tukakubaliana, hakuna anayeweza kukupa jibu la kueleweka.

Watu wanataka kutupandikizia puritanism za dini zao, wakati wengine hatuamini katika hizo dini.

Ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom