Mabibi na mabwana kuna upotoshwaji wa wazi wa kilichotokea straight talk Africa jana.
Labda kwa sababu ya siku 21 za maombolezo ya msiba mkubwa tuliomo, Star TV hawakuyaonyesha kabisa mazungumzo hayo.
Kilichotokea katika mazungumzo haya ya nia njema kama yalivyokuwa, Lissu aliongea kwanza na bwana Shaka Ssali:
Baada ya kumalizana na Lissu, Shaka aliongea baadaye na Prof. Lumumba bila ya Lissu kuwapo:
Kumhusisha Lumumba na Lissu au vice versa ni upotoshaji wa wazi wenye kukosa mashiko.
Ni wazi kuwa Shaka alihoji na kujibiwa kila alichohitaji majibu akiheshimu kikamilifu mitizamo ya kila mmoja.
Hapakuwa marumbano yoyote katika mazungumzo hayo.
Kwamba nani kamfunda nani? Wajameni wapi kulikuwa na kufundana?
Hiiii!
Labda kwa sababu ya siku 21 za maombolezo ya msiba mkubwa tuliomo, Star TV hawakuyaonyesha kabisa mazungumzo hayo.
Kilichotokea katika mazungumzo haya ya nia njema kama yalivyokuwa, Lissu aliongea kwanza na bwana Shaka Ssali:
Baada ya kumalizana na Lissu, Shaka aliongea baadaye na Prof. Lumumba bila ya Lissu kuwapo:
Kumhusisha Lumumba na Lissu au vice versa ni upotoshaji wa wazi wenye kukosa mashiko.
Ni wazi kuwa Shaka alihoji na kujibiwa kila alichohitaji majibu akiheshimu kikamilifu mitizamo ya kila mmoja.
Hapakuwa marumbano yoyote katika mazungumzo hayo.
Kwamba nani kamfunda nani? Wajameni wapi kulikuwa na kufundana?
Hiiii!