beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
habari za nyinyi humu ndani vipi wazima wote? Mi leo nipo so weak and mpaka sasa nimelose apetite im praying irudi haraka nikale jamani. Nimewakumbuka tuu na kama kawaida ya bebe kutoa salamu si tatizo kwangu.hope upo okey