Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,507
Hapo awali nilikukuwa nawachukia sana wapinzani kwa fujo zao na kukosa ustahimilivu wa mambo mbalimbali hasa wakiwa nje ya bunge.
Jambo Hilo lilipelekea hata uvunjifu wa amani kwa baadhi ya maeneo yetu hapa nchini.
Jambo Hilo lilinipelekea kuwanyima kura yangu 2015 na kumpatia mhe. JPM.
Lakini kwa ustahimilivu na ukomavu wa kisiasa wanaounyesha wapinzani kwa sasa licha ya kuwepo kwa upendeleo wa waziwazi kwa chama tawala huku CCM ikilindwa na vyombo vya dola, Hakika upinzani umenishawishi kwamba Nchi yetu itakuwa mikono salama na ya amani kama wakipata ridhaa ya watanzania kuongoza nchi yetu.
Ni dhahiri kwa yanayoendelea kwa sasa CCM imechoka na na amani tuliyonayo ndo mana inaanzisha chokochoko ili upinzani wajibu mapigo ili yatokee machafuko kitu ambacho upinzani wamefanikiwa kuukwepa mtego huo.
Hongera sana Upinzani mnafaa kuongoza nchi yetu ya Tanzania
Jambo Hilo lilipelekea hata uvunjifu wa amani kwa baadhi ya maeneo yetu hapa nchini.
Jambo Hilo lilinipelekea kuwanyima kura yangu 2015 na kumpatia mhe. JPM.
Lakini kwa ustahimilivu na ukomavu wa kisiasa wanaounyesha wapinzani kwa sasa licha ya kuwepo kwa upendeleo wa waziwazi kwa chama tawala huku CCM ikilindwa na vyombo vya dola, Hakika upinzani umenishawishi kwamba Nchi yetu itakuwa mikono salama na ya amani kama wakipata ridhaa ya watanzania kuongoza nchi yetu.
Ni dhahiri kwa yanayoendelea kwa sasa CCM imechoka na na amani tuliyonayo ndo mana inaanzisha chokochoko ili upinzani wajibu mapigo ili yatokee machafuko kitu ambacho upinzani wamefanikiwa kuukwepa mtego huo.
Hongera sana Upinzani mnafaa kuongoza nchi yetu ya Tanzania