Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,198
- 219,356
Chadema ilimuamini ikampa ubunge akiwa na miaka 26 tu..Upendo Peneza ni kati ya wagombea ubunge waliodhalilishwa kijinsia na wana-Ccm wakati wa kampeni.
..Sasa kitu cha ajabu Upendo Peneza amehamia Ccm. Bunge linajadili unyanyasaji wa kijinsia. Na mgombea aliyemnyanyasa Upendo yuko Bungeni.
Cc Nguruvi3, Erythrocyte