Wamo humu wameelewa.. WatapunguzaJamani mimi mawifi zangu (dada wa mtarajiwa wangu) wananitatiza. Mchumba wangu ni mtoto wa kiume pekee kwa wazazi wake na amebarikiwa madada sita. To be honest nawapenda mawifi zangu na wananipenda pia kwa maneno na matendo ila sasa upendo huu naona unaelekea kuwa mzito sana kwangu.
Mimi ni mwanamke simple sana. Mavazi na Hairstyle na muonekano wangu kwa ujumla ni simple. Sasa mawifi zangu tangu nimetambulishwa kwao wamekuwa ni watu wa kutaka kunibadilisha. Ninaletewa nguo, hereni, viatu na kila aina ya urembo ambao si kama ule ninaopendelea. Weekend lazima mmoja anitafute twende salon, tukifika huko nitalazimishwa mambo ya pedicure, manicure wakati sina mazoea hayo. Yani ni kama wamewekeana zamu, leo huyu kesho huyu. Mara shopping na tukifika huko sipewi uhuru wa kuchagua nivipendavyo bali naambiwa "wifi hii ndo itakupendeza bwana, tena hata kaka atapenda ukivaa hii".
Wiki iliyopita tulienda harusini mimi, mchumba wangu na dada zake wawili. Nikakutana nao mitaa ya Mwenge ili tuongozane kwenda huko. Nilikuwa nimevaa flat shoes na gauni langu la usiku. Jamani wifi zangu walilalamika kwanini nimevaa flat shoes kwa muda kama dakika 20 hadi baby ikabidi aseme mwacheni mke wangu. Leo wifi amenitag instagram kwenye picha ya viatu virefu ananiuliza kama nimevipenda. Sijajibu hadi sasa na najawa na hasira na mashaka kuwa endapo nikiolewa si watakuja kunipangia hadi nightdress za kumvalia mume wangu hawa..
Nifanye nini waniache alone bila kuwa na mtafaruku au wasijisikie vibaya kwani wananipenda na najua wanafanya kwa upendo na nafurahi kupendwa ukweni ila daaaaahhhh!
Basi tulia shukuru umepata mawifi wanaokujali.Hivi ujui kama kuna wenzako wanamtami huyo jamaa.Siwachukii hata kidogo...nawapenda kama dada zangu kabisa....
Wanakupenda na wanaona kabisa unauzuri wa asiliAsante kwa ushauri ila naogopa hata kumwambia, sitaki ionekane kama nina negativity kwa dada zake. Wako close sana na anajitahd wote tuwe kitu kimoja
Kwahyo wifi kumbe huwa tunakukwaza!Si rahisi hata kidogo
Wangekuwepo wangenisumbua??Una mawifi wengi kweli kweli!
Heri yetu siye tusio na madada!
this is the great idea,you better buy this!Inawezekana ni upendo tu ila wameshindwa kuweka mipaka. Mwambie Mchumba wako awaambie Dada zake. Lakini statement yake ionyeshe kuwa yeye ndiye amelifikiria hilo, na uzuri yeye mwenyewe ameona!
*NANI KAKUZUIA KUJIPAMBA, EBU JIPAMBE DADA... JIPAMBE UWE MREMBO ZAIDI*
Leo nataka kuwatia moyo wanawake kwa habari ya kujipamba, jipambe ili mpendeze mwaya.......
Najua zipo saloon nyingi zenye hadhi mbalimbali na zina wataalamu wa viwango tofauti tofauti lakini nimegundua saloon moja haihitaji gharama kubwa sana kama unataka kupambwa.
Nilikuwa napita mahali nikaiona, nikasema lazima niwashauri wanawake waende hiyo saloon wakajipambe na haipo mbali. Unakubalije kukaa bila kujipamba na wakati umeruhusiwa?
Mwanzoni nilipoiona hii saloon nilishtuka nikaambiwa, usishtuke .........nikauliza kwanini? Nikaambiwa...... _*Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu na kuwatii waume zao*_1Pet 3:5
Nikauliza walitumia mapambo gani hao wanawake wa zamani? Akasema; _*Wanawake wa zamani walijipamba kwa mapambo yasiyoharibika yaani roho ya upole na ya utulivu*_ 1Pet 3:4 Nikasema.... Imekaa poa