Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Kigezo cha elimu kingeanza na mwenyekiti wenu wa chama
Hebu nikumbushe elimu yake
OTIS
Wewe tumia akili je Mbowe ni viti maalumu mpaka nikupatie elimu yake? Lakn pia nilikwambia kigezo kingine ni kukaa chamani muda mrefu sasa unataka maelezo gani zaidi? Unapozungumzia wabunge vilaza na ambao hawajaenda shule wapo CCM tukianza na
1.Livingstone Lussinde
2.Prof Maji Marefu
3.Wadau watajazia hapa