Upendeleo CDM wahamia mikoa mingine kutokea Kilimanjaro

OTIS

JF-Expert Member
Sep 7, 2011
2,251
827
CDM siku zote imekuwa ikilalamikiwa kuwa na chembe chembe za ukabila,urafiki,ukwe,ukanda nk.
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila ndani ya CDM
Zitto kabwe nae alipigwa sana vita baada ya kutaka kugombea uenyekiti wa CDM.Kiongozi wa shughuli hii alikuwa Mzee Mtei ambae ni mkwe wa Mbowe.
Kubebana huku kumeenda hadi CDM mikoa mingine.
Mathalani,Tundu Lissu alicheza kete dada yake akapewa ubunge wa viti maalumu.
Angalia vichekesho hivi.

1.Hawa ni ndugu wa damu,angalia majina yao
Tundu Mughwai Lissu na Christina Mughwai Lissu.

2.wote wamesoma wamesoma mahambe primary school.
Tundu,76-82 Christina kasoma 78-84

Naishia kujiuliza,ina maana hakukuwa na wanawake wengine mkoa mzima wa Singida wa kupewa ubunge wa viti maalumu zaidi ya dada yake na Tundu?
CDM ina safari ndefu sana
OTIS
 
CDM siku zote imekuwa ikilalamikiwa kuwa na chembe chembe za ukabila,urafiki,ukwe,ukanda nk.
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila ndani ya CDM
Zitto kabwe nae alipigwa sana vita baada ya kutaka kugombea uenyekiti wa CDM.Kiongozi wa shughuli hii alikuwa Mzee Mtei ambae ni mkwe wa Mbowe.
Kubebana huku kumeenda hadi CDM mikoa mingine.
Mathalani,Tundu Lissu alicheza kete dada yake akapewa ubunge wa viti maalumu.
Angalia vichekesho hivi.

1.Hawa ni ndugu wa damu,angalia majina yao
Tundu Mughwai Lissu na Christina Mughwai Lissu.

2.wote wamesoma wamesoma mahambe primary school.
Tundu,76-82 Christina kasoma 78-84

Naishia kujiuliza,ina maana hakukuwa na wanawake wengine mkoa mzima wa Singida wa kupewa ubunge wa viti maalumu zaidi ya dada yake na Tundu?
CDM ina safari ndefu sana
OTIS

Twambie nani alikuwa anastahili alinyimwa nafasi akapewa dada yake Lissu?
 
CDM siku zote imekuwa ikilalamikiwa kuwa na chembe chembe za ukabila,urafiki,ukwe,ukanda nk.
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila ndani ya CDM
Zitto kabwe nae alipigwa sana vita baada ya kutaka kugombea uenyekiti wa CDM.Kiongozi wa shughuli hii alikuwa Mzee Mtei ambae ni mkwe wa Mbowe.
Kubebana huku kumeenda hadi CDM mikoa mingine.
Mathalani,Tundu Lissu alicheza kete dada yake akapewa ubunge wa viti maalumu.
Angalia vichekesho hivi.

1.Hawa ni ndugu wa damu,angalia majina yao
Tundu Mughwai Lissu na Christina Mughwai Lissu.

2.wote wamesoma wamesoma mahambe primary school.
Tundu,76-82 Christina kasoma 78-84

Naishia kujiuliza,ina maana hakukuwa na wanawake wengine mkoa mzima wa Singida wa kupewa ubunge wa viti maalumu zaidi ya dada yake na Tundu?
CDM ina safari ndefu sana
OTIS

Is what you've put here the best of your thinking? I suppose so. If this is the best of all of what you could have done today, what is the worst of you?
 
Is what you've put here the best of your thinking? I suppose so. If this is the best of all of what you could have done today, what is the worst of you?

Sijui kiingereza mkubwa,tafadhali tumia lugha ya taifa au kichaga.
OTIS
 
kwa hy angenyimwa viti maalumu kisa dada yake Tundu Lisu kisha angepewa mwanawake mwingine hata kama hana sifa?!..
MY TAKE:- Ka hao VITI MAALUM wana SIFA ya kuzipata hz nafasi acha waendelee KUPEANA tu hata kama wote wanatoka FAMILIA moja,.Muhimu tunachota kuona ni OUTPUT zao kwa JAMII na BUNGENI
 
Hakuna wanawake wengine wanachama wa CDM mkoa mzima wa Singida zaidi ya dada yake?
OTIS

Kwa hiyo umpost kwa hisia tu! Kwasababu ni dada wa Lissu basi unatwambia ni kigezo cha yeye kutopewa ubunge hata kama mchango wake kwa CDM na kaka yake kushinda ubunge katika mkoa ngome ya CCM ni mkubwa?
 
kwa hy angenyimwa viti maalumu kisa dada yake Tundu Lisu kisha angepewa mwanawake mwingine hata kama hana sifa?!..
MY TAKE:- Ka hao VITI MAALUM wana SIFA ya kuzipata hz nafasi acha waendelee KUPEANA tu hata kama wote wanatoka FAMILIA moja,.Muhimu tunachota kuona ni OUTPUT zao kwa JAMII na BUNGENI

Hizo sifa zipi walizokosa wanawake wote wanachama wa CDM singida na Dada wa Tundu akawa nazo.
Acha ushabiki
Kuna harufu mbaya hapa.
OTIS
 
Kwa hiyo umpost kwa hisia tu! Kwasababu ni dada wa Lissu basi unatwambia ni kigezo cha yeye kutopewa ubunge hata kama mchango wake kwa CDM na kaka yake kushinda ubunge katika mkoa ngome ya CCM ni mkubwa?

Mchango upi zaidi ya kuwa dada wa Tundu?
OTIS
 
Hizo sifa zipi walizokosa wanawake wote wanachama wa CDM singida na Dada wa Tundu akawa nazo.
Acha ushabiki
Kuna harufu mbaya hapa.
OTIS
[/Q

Isome vizuri comment yangu, mi nime generalize,.ka mtu yeyote ana sifa apewe hata kama ni dada au shemeji wa nani!? Back 2 yr Qn, we uliyeta hy topic ndo unatakiwa utupe data kuna mwanamke gani wa CDM singida ana sifa kumshinda huyo dadake Tundu Lisu
 
hizo ni fikira mgando ndugu yangu
OTIS........kama utakuwa unaupeo mkubwa wa kufikiri na kuchanganua mambo unaweza kurejea uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la igunga waliojitokeza kuomba nafasi ile kwa CDM walikuwa watu wengi kuliko vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi ule mdogo,kwa mtazamo wangu chadema ndio kinakuwa na watu wengi wanaamasika kujiunga si kwa maneno bali na kwa vitendo sitegemei kama uchaguzi ujao mtu atatoka nyumbani kwake akiwa na mawazo yeye ndiye mgombea pekeee wa ubunge /udiiwani kupitia CDM lazima wajiandae kwa mpambano .mchuano utakuwa mkali sana kupata atakae peperusha bendera ya CDM.
kuhusu mtei,mbowe,mzee ndesa pesa,lisu na wengine kwao ilikuwa rahis kwa ndugu zao kuingi kwa sababu popularty ya chama ilikuwa ndogo na apakuwepo mtu wa kuaminika kumpa jukumu la kwenda kukitetea chama......SUBIRI UONE CHAGUZI ZIJAZO MCHUANO UTAKUWA MKALI SANA.
 
Isome vizuri comment yangu, mi nime generalize,.ka mtu yeyote ana sifa apewe hata kama ni dada au shemeji wa nani!? Back 2 yr Qn, we uliyeta hy topic ndo unatakiwa utupe data kuna mwanamke gani wa CDM singida ana sifa kumshinda huyo dadake Tundu Lisu

Mkubwa,wajua sifa za kuwa Mbunge?
Tafakari
OTIS
 
hizo ni fikira mgando ndugu yangu
OTIS........kama utakuwa unaupeo mkubwa wa kufikiri na kuchanganua mambo unaweza kurejea uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la igunga waliojitokeza kuomba nafasi ile kwa CDM walikuwa watu wengi kuliko vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi ule mdogo,kwa mtazamo wangu chadema ndio kinakuwa na watu wengi wanaamasika kujiunga si kwa maneno bali na kwa vitendo sitegemei kama uchaguzi ujao mtu atatoka nyumbani kwake akiwa na mawazo yeye ndiye mgombea pekeee wa ubunge /udiiwani kupitia CDM lazima wajiandae kwa mpambano .mchuano utakuwa mkali sana kupata atakae peperusha bendera ya CDM.
kuhusu mtei,mbowe,mzee ndesa pesa,lisu na wengine kwao ilikuwa rahis kwa ndugu zao kuingi kwa sababu popularty ya chama ilikuwa ndogo na apakuwepo mtu wa kuaminika kumpa jukumu la kwenda kukitetea chama......SUBIRI UONE CHAGUZI ZIJAZO MCHUANO UTAKUWA MKALI SANA.

Jibu la Tundu na dada yake kupeana vyeo mkubwa.
OTIS
 
Hivi wakati unaandika upupu huu umefikiria huko CCM na serikalini kuna wangapi wenye ndg, wake, waume ect au ?

Sina haja ya kutaja majina yote maana kwanza yanatia kichefuchefu lakini kwa kuanzia tuambie huyo fisadi mkuu, rizi1 na kale kakinda kaliko ktk baraza la maskauti tanzania. Then chungulia bungeni : Mzindakaya, shelukindoz, Kigodas, Kahamas, Lusindes, Kawawas, Sokoines, Pindas, ect...

Tuambie hawa waliachiana au gawiana wapi then njoo tujadili...!!

BTW bora hata hao maana wamewapa watu na kazi yao bungeni inaonekana (magamba wanaijua vizuri) kuliko kujaza wauza unga na huyo waziri mvuta bangi anayesinzia kila siku..!!

CDM siku zote imekuwa ikilalamikiwa kuwa na chembe chembe za ukabila,urafiki,ukwe,ukanda nk.
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila ndani ya CDM
Zitto kabwe nae alipigwa sana vita baada ya kutaka kugombea uenyekiti wa CDM.Kiongozi wa shughuli hii alikuwa Mzee Mtei ambae ni mkwe wa Mbowe.
Kubebana huku kumeenda hadi CDM mikoa mingine.
Mathalani,Tundu Lissu alicheza kete dada yake akapewa ubunge wa viti maalumu.
Angalia vichekesho hivi.

1.Hawa ni ndugu wa damu,angalia majina yao
Tundu Mughwai Lissu na Christina Mughwai Lissu.

2.wote wamesoma wamesoma mahambe primary school.
Tundu,76-82 Christina kasoma 78-84

Naishia kujiuliza,ina maana hakukuwa na wanawake wengine mkoa mzima wa Singida wa kupewa ubunge wa viti maalumu zaidi ya dada yake na Tundu?
CDM ina safari ndefu sana
OTIS
 
Back
Top Bottom