OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
CDM siku zote imekuwa ikilalamikiwa kuwa na chembe chembe za ukabila,urafiki,ukwe,ukanda nk.
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila ndani ya CDM
Zitto kabwe nae alipigwa sana vita baada ya kutaka kugombea uenyekiti wa CDM.Kiongozi wa shughuli hii alikuwa Mzee Mtei ambae ni mkwe wa Mbowe.
Kubebana huku kumeenda hadi CDM mikoa mingine.
Mathalani,Tundu Lissu alicheza kete dada yake akapewa ubunge wa viti maalumu.
Angalia vichekesho hivi.
1.Hawa ni ndugu wa damu,angalia majina yao
Tundu Mughwai Lissu na Christina Mughwai Lissu.
2.wote wamesoma wamesoma mahambe primary school.
Tundu,76-82 Christina kasoma 78-84
Naishia kujiuliza,ina maana hakukuwa na wanawake wengine mkoa mzima wa Singida wa kupewa ubunge wa viti maalumu zaidi ya dada yake na Tundu?
CDM ina safari ndefu sana
OTIS
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila ndani ya CDM
Zitto kabwe nae alipigwa sana vita baada ya kutaka kugombea uenyekiti wa CDM.Kiongozi wa shughuli hii alikuwa Mzee Mtei ambae ni mkwe wa Mbowe.
Kubebana huku kumeenda hadi CDM mikoa mingine.
Mathalani,Tundu Lissu alicheza kete dada yake akapewa ubunge wa viti maalumu.
Angalia vichekesho hivi.
1.Hawa ni ndugu wa damu,angalia majina yao
Tundu Mughwai Lissu na Christina Mughwai Lissu.
2.wote wamesoma wamesoma mahambe primary school.
Tundu,76-82 Christina kasoma 78-84
Naishia kujiuliza,ina maana hakukuwa na wanawake wengine mkoa mzima wa Singida wa kupewa ubunge wa viti maalumu zaidi ya dada yake na Tundu?
CDM ina safari ndefu sana
OTIS