Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
barabara ya moshi arusha hakuna mfuasi wa ccm ndugu yangu!
Akionekana anakuwa kama kituko,
barabara ya moshi arusha hakuna mfuasi wa ccm ndugu yangu!
Gongo za week end ndiyo zinafanya kazi bado ziko kichwani.
Tunashukuru kamanda kwa tarifa hiyo ila huku mwanza wabunge wetu ilemela ukerewe wamevamiwa na kuumizwa vibaya hasa kiwia hali yake siyo nzuri
Watu 80,000 ni mtaji wa CCM 47,000 watagawana CDM na vyama vingine.
Huijui Arumeru huwajui Wameru tulia!
TUELEZE mengine yanayojiro huko. Waambieni CDM waangalie wasimamizi wa vituo maana yule mtuhumiwa mkuu wa ufisadi nchini - Edward Lowassa amemwaga hela kwao.tupo kanisani lakini mawazo yote jf
Mkuu umekosea ni 127000
Wewe ndiyo huwajui Wameru tulia, Wameru hawajawahi kuongozwa na chama tofauti na CCM tutakutana jioni humu JF.
Gongo za week end ndiyo zinafanya kazi bado ziko kichwani.