BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,149
- 2,160
Kwa akili yako kiduchu....Aliyeyatungua ni Israel au US/UK/France na Jordan? Ukifatilia mambo kiushabiki utakua unatumia uwezo wako kidogo sana wa kufikiri....Jiulize kwann ayo mataifa yameingilia kati? Kwan Israel siwote tuna jua ina multi layered defence systems? Kwann haikuachiwa yenyewe ishugulike na Iran....Jiulize kwann % kubwa ya ayo makombora/drone yamedunguliwa na US/UK/France/Jordan tena mbali kabisa na Taifa teule na yale machache yaliyopita nasema machache bado Israel hakudungua yote??? Usiwe km Rais wa Ukraine akisema Ukraine imedungua drone za Iran zilizolushwa na Russia 38 kati ya 40 ila hizo 2 zime hit target na kufanya yake.... Jua ata Syria inapotungua makombora mengi ya Israel ata ya yakipita 2 tu lengo linakua limefikiwa... Sasa ayo 7 ya Iran kwann mpaka sasa Israel haitak kuonesha ulimwengo hiyo demage ndogo tu...Israel njia yake ya kujibu ni tofauti na Iran, sababu israel yeye atalenga tu target yake moja ambayo itahit, yeye akipiga moja tu inaondoka na top General wa Iran, Iran ni kama hakuna alichofanya zaidi ya matambo tuu..sasa unarushaje makombora 300 alaf yote yanatunguliwa iraq na jordan? yaliyofika israel ni kama 1% ambayo nayo yametunguliwa..sasa alichofanya kimeleta madhara gan kwa israel?
mfano jana usiku watu wa telaviv walikua wanajua makombora yameshatumwa yanakuja kwao na walikua wanaendelea na shughuli zao kama kawaida yani.