Babuu wa kitaa ndo nani.... sio wote tunaangaliaga bongoflevaView attachment 466723 huyoo wa kwanza
Hawa watumiaji watwataja wanaowauzia na hao vilevile watawataja dealers wakubwaTunaomba papa na nyangumi watajwe. Pia hawa jamaa waunga wanatakia kushughulikiwa kimya kimya na siyo vinginevyo. Tukipiga kelele hatutafanikiwa tuwafyeke tuwatokomeza wanatuharibia watoto na vijana wetu, wanatuharibia nchi Yetu. Tuwashughulikie kimya kimya tungoe visiki ya miti yao.
Wapokonywe vitendeakaziTunaomba papa na nyangumi watajwe. Pia hawa jamaa waunga wanatakia kushughulikiwa kimya kimya na siyo vinginevyo. Tukipiga kelele hatutafanikiwa tuwafyeke tuwatokomeza wanatuharibia watoto na vijana wetu, wanatuharibia nchi Yetu. Tuwashughulikie kimya kimya tungoe visiki ya miti yao.
Hakuna chochote kwenye vyombo vya doraDuu vyombo vya dola sio vya mchezo mchezo
Kuna kipindi anatangazaga Clouds kinaitwa TEGUA MTEGOBabuu wa kitaa ndo nani.... sio wote tunaangaliaga bongofleva
Acha ifanyike kwa uwazi kwa kuwa hawa wauza unga wana tabia ya kutangaza mafanikio yao hadharani na hatimaye kuwaathiri vijana kudhani maisha ni rahisirahisiTunaomba papa na nyangumi watajwe. Pia hawa jamaa waunga wanatakia kushughulikiwa kimya kimya na siyo vinginevyo. Tukipiga kelele hatutafanikiwa tuwafyeke tuwatokomeza wanatuharibia watoto na vijana wetu, wanatuharibia nchi Yetu. Tuwashughulikie kimya kimya tungoe visiki ya miti yao.
Bora asiende hataelewa alichoitiwa.Huyu hajapata taarifa msimlaumu asipofika.