Updates kutoka Uwanja wa Mashujaa Mtwara: Mkutano wa Kampeni za mgombea Urais CCM

Niite vyovyote lakini nijibu hivi. Gesi pekee?? Huhitaji Soko la bidhaa? Huhitaji miundombinu? Huhitaji malighafi?? You need only Gas as he said? Shame on you.

Magufuli is right. Alisema UNAWEZA KUJENGA hakusema TUTAJENGA. Msisitizo ni NISHATI ya gesi ni nyenzo muhimu katika ujenzi wa viwanda.
 
Magufuli is right. Alisema UNAWEZA KUJENGA hakusema TUTAJENGA. Msisitizo ni NISHATI ya gesi ni nyenzo muhimu katika ujenzi wa viwanda.

Kwa serikali hiii hilo ji changa la macho. Unakumbuka miradi ya reli y mtwara hadi mchuchuma?? Lengo ni ku export Chuma ghafi. Hujasikia ujenzi wa bandari bagamoyo ku export gesi? Kwajini badala yake serikali isingepeleka gesi kule ili ku process chuma hatimaye kuvutia uwekezaji zaidi??

Sijaona dhaminra serikali kutumia gesi kuvutia uwekezaji wa viwanda na hata hivyo gesi sio kigezo pekee.

Serikali inayowaambia wananchi A huku inafanya B simply ni serikali ongo.
 
Ningependa kujua kiwango chako cha elimu ndugu. Mimi ni mfuatiliaji wa maendeleo ya gesi. Mradi mkubwa kama huo una mchakato mrefu. Decision to invest ilishahalalishwa baada ya kupata gesi zaidi 45 billion cu.ft. Kupata wawekezaji wenye mtaji wa kujenga LNG plant ya $20-$30bn. Ni process. Na huwezi kuwaambia kwa staili zetu za kiswahili. Vigezo mbali mbali na soko la dunia vinatizamwa. Hiyo miaka uliyoitaja ni ujenzi kuanza. Na kuanza maana yake maandaluzi yalianza miaka kadhaa kabla. Maandalizi pia yalikuwa yamecheleweshwa na ukosefu wa sera ya gesi. Msumbiji wako mbele yetu. Ni kweli gesi itakuwa mama wa viwanda vingi sana kama ilivyo kwa chuma cha liganga na makaa ya mawe vitakuwa mama wa viwanda vizito. Ili tupae tunavihitaji sana viwanda hivyo. Ila kwa utafiti wangu msimu wa kuvipata hivyo umefika ili mradi tuwe na rais mchapakazi, siyo fisadi. Kuna hatari ya kuchagua watu watakaowekea vikwazo duniani kwa uwezo wao wa kupora rasilimali za nchi. Ni muhimu mahakama maalum ziwafunge mafisadi wote bila kujali chama ama sivyo tutaendelea kubaki masikini. Kutotambua haki zetu ni ugonjwa mbaya sana. Tuanze na katiba ya warioba
nakubaliana na wewe kabisa, sasa niambie hivyo viwanda tunavyoambiwa vitajengwa mtwara katika kipindi cha miaka mitano ni vipi ilihali gas and oil decision to invest will be in the year 2019/2020? Suala la kujua kiwango cha elimu yangu sio hoja hapa.
 
Kauli Ya Mkapa Ina Muhusu Mtoa Post, Je Umechambua Kaul Vizuri? Pia Unayajua Material Yanayotengeneza Ndege Ni Material Gan? Wenda Yapo Inakosekana Energy Tu,. Pia Kwan Mpaka Material Yapatikane Hapa Tanzania? Msioelewa Nawapa Mfano Unaoendana Na Brain Zenu, Cocacola Ingekuwa Inahtaj Energy Kubwa Sana Kutengeneza Ambayo Hatuna Uwezo Wa Kuizalisha Tungeishia Kuagiza Zilizotengenezwa Nje, Ila Kwakuwa Umeme Wa Kuendesha Hayo Tumeletewa Soda Material Tunachanganya Kutengenezea Hapa, Hata Kwa Ndege Haimaanish Material Kama Hayako Hapa Tunashndwa Kuziruhusu Nchi Zenye Ujuz Kujenga Kiwanda Hapa Hata Kama Ni Branch, Pia Suala La Market, Hv Nyie Hamjielewi Kabisa Kwan Wanaotengeneza Ndege Wanauza Kwenye Nchi Zao? Market Ipo Unauza Dunian Uko Kwa Afordable Price, Tusiwe Na Mawazo Ya Kumtoa Babu Seya Tu Uko Gerezan We Have To Go Beyond,

huna content ww kama tumeshindwa kuendeleza kiwanda cha nyumbu cha magali anapiga hesabu za kujenga kiwanda cha ndege kweli watanzania hatujui pa kuanziaaa kama watu tumeshindwa hata kutengeneza engine ya pikipiki iweje ndege think twice acha politics leta scientific reasoning
 
Siyo lazima yeye ndiyo ajenge hivyo Viwanda bali anaweza pia akaweka mazingira mazuri kwa raisi atakayemfwatia ili aweze kuvijenga, cha muhimu ni kwamba tunakwenda kutoka A kwenda B na kama akiweza kulifanya hilo yaliyobakia wengine watayafanya kinachokosekana mpka sasa hivi nchini mwetu ni Utawala wa sheria na Haki hivyo akipatikana mtu anayeweza kuzisimamia sheria zetu na kwamba zitoe haki kwa kila mmoja wetu basi mengine yoote yatafwata tu kama vile maji yanavyofwata Mkondo!
suala hapa ni time frame ya kujenga hivyo viwanda kwa kipindi cha yeye kuwepo madarakani (kama atakuwa rais though). decision to invest ni mwaka 2019/2020 na yeye atakuwa na kipindi cha miaka 5. sasa niambie hiyo haitakuwa ahadi hewa? atarudi tene Mtwara kuomba kura kwa sera ipi? wakati watu hawajaona hivyo viwanda?
 
Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kuwa na gesi. Sasa toa mfano wa nchi moja tu duniani ambayo kwa kuwa na gesi imeweza kuanzisha kiwanda cha ndege, uone kama ipo. Iwe kwa kutumia gesi kama mali ghafi au mapato yatokanayo na gesi kufanya hivyo.

Uongo ni uongo tu. Niliwaambia huyu jamaa kule Mkwawa tulikuwa tunamwita boila kwa kutoa maneno yasiyo na mantiki yoyote aka "vapour".
mkuu naheshima debate uliyoionyesha ,swali hivi hakuna logic ya viwanda na gesi(utilization ya energy)?kwa sababu hajataja kiwanda cha ndege
 
Hujajibu hoja yangu, maelezo yako ni dhaifu kama rais wako JK. Na unataka kuingiza kilaza mwingine ikulu. Huko Monduli amekuwa mbunge kwa miaka.20; Nenda uliza kama maisha ya watu wa Monduli yamebadilika, migogoro ya ardhi ameimaliza na amemaliza vipi umasikini wa watu wa Monduli kwa mda aliokuwa mbunge, waziri na waziri mkuu.

Some of you Tanzanians are very stupid and myopic that you never learn from past experiences. Mmekalia kuhemkwa ka mna nyege vile.
Kwa hiyo unataka tuwaingize ccm madarakani sio..?! Unaijua monduli au unafuata mkumbo wa propaganda tu, kuna wilaza ya kijichi chochote yenye nafuu maisha kama monduli..kwanza napoteza muda tu hapa.
 
Back
Top Bottom