Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
...(Gesi imepatikana Mtwara! Serikali ya awamu ya nne imeanza kuweka viwanda kikiwemo cha Dangote, Serikali ijayo itasambaza viwanda Mtwara; viwanda vikubwa, vya kati na vidogo. Kupitia viwanda tutafikisha asilimia 40 ya vijana walioajiriwa.
Tanzania ya MAgufuli itakuwa ya viwanda!).....
Nimequote hiyo paragraph sababu nina hakikika kuwa hakutakuwa viwanda vingine mtwara tofauti na Dangote cement ambavyo vitajengwa kabla ya uhakika was oil and gas. Na hii ndio itamtoa magufuli 2020 endapo atapita huu mwaka. Kwa nini nasema hivyo? Ni kuwa nimewahi hudhulia moja ya workshops za BG and StatOil ambao ndio wamiliki wakubwa hiyo gas and oil na wao wanasema kuwa Decision to invest on oil and Gas wataitoa mwaka 2019 ama 2020. Na ikumbukwe kwamba viwanda vinavyosemwa kujengwa mtwara ni vya oil and gas related industries kama services industries to the oil and gas companies ama viwanda vinavyotegemea Gas and oil kama raw materials e.g. fertilizer company. Sasa kama hawa jamaa kama watatoa decision to invest mwaka 2019/20, hivyo viwanda vitajengwa link????. Na moja ya sababu zinazowafanya wachelewe kutoa decision hiyo ni Ardhi ya kuweka kiwanda cha kuchakata gas (LNG) na mwenye mamlaka ya Ardhi yote ya nchi mnamjua. Viwanda kujengwa Mtwara ni ndoto zinaotwa.