Tuvako
Member
- May 19, 2012
- 82
- 13
Sasa akijua mama yko tufanyaje? Nenda FB Ukakutane na watoto wenzako uwape huo umbea
Acha Wivu..
Sasa akijua mama yko tufanyaje? Nenda FB Ukakutane na watoto wenzako uwape huo umbea
Ghali sana... Haipungui. Hiyo itakuwa kwa mwenye nazo
Na magwanda ya uhakika yameletwa na AKs pale Mlimani City kila moja Tshs 380,000/=
Pamoja sana kamanda,ama kwa hakika ukiwa ndani ya Chadema ni ufahari na amani,leo nimepigilia kombati yangu nikaenda kazini ama!!!nimefarijika sana watu wakinishangaa na kupewa mikono kamanda naona mapambano yanaendelea!!!!I love Chadema chama cha mkombozi wa wanyonge!!!Wanamume wakikaa mahali siku tatu ogopa hiyo kitu.CHADEMA nimoto wa gesi,wako wengije! Hiyo ni sababu ya wawakilish kutoka mikoani viva makamanda nawapenda sanaa hichi ndicho chama nilichokua nakiotaga kipindi niko darasa la nne niliku na uchungu ila wakunisapoti hakuagepo sasa najivunia kua CHADEMA hata mama angu anajua
out of context kabisa
you must be living a very miserable life kwakweli... wapenda kukomalia visivyokomaa na wewe
Sasa sare ni tisheti za kichina? magwanda yamevuliwa na kutupwa! na sera zenu badilisheni basi maana naona mpaka sala za kanisani mkutanoni! sijui wanaomba kwa jina la nani!
Imekuuma eeh! bata wewe kaa utulie hapo usubirie KupakatwSasa sare ni tisheti za kichina? magwanda yamevuliwa na kutupwa! na sera zenu badilisheni basi maana naona mpaka sala za kanisani mkutanoni! sijui wanaomba kwa jina la nani!
saccos ya vijana ccm.
Vipi wale wasaliti wa chama wanang'olewa lini?
Kinana ni tapeli wa kimataifa anae lindwa na maccm
Sasa sare ni tisheti za kichina? magwanda yamevuliwa na kutupwa! na sera zenu badilisheni basi maana naona mpaka sala za kanisani mkutanoni! sijui wanaomba kwa jina la nani!
tena muulize nape analipwa sh ngapi? Sisi tunajua heche analipwa 650000 kitu uwazi bila chenga na sotetunakubali anastahiliumekosa point mkuu,sio lazima uchangie.kama huna kazi na unapenda hesabu basi tuchambulie bajeti zote za mikutano ya ccm na wabunge halafu compare na hiyo hapo.
Na wewe unakomalia visivyokomaliana na wewe. Hii ni JF kila mtu huko entitled kwa opinion yake. Huku nyamaza au ukubali kutokubaliana.
Huwezi ukajitokea huko na cap na visor yake ukahutubia kwenye mkutano.
Cap hizo tumezitoa kwenye utamaduni wa Kizungu, nasi tuheshimu tamaduni hizo tunapozitumia
Sasa sare ni tisheti za kichina? magwanda yamevuliwa na kutupwa! na sera zenu badilisheni basi maana naona mpaka sala za kanisani mkutanoni! sijui wanaomba kwa jina la nani!