Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,583
- 6,633
Updates za Baadhi ya maazimio:
- Gesi isiondoke mpaka serikali iiweke wazi mikataba yote kwa wananchi!
- Serikali iende ikae na wananchi na kuwasikiliza ili waridhiane. Kila kitu kisitishwe kwa sasa hadi maridhiano yawepo
- Kinana ni mmojawapo wa Wakurugenzi wa ARTUMAS (ref- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/15393-abdlahaman-kinana-na-artumas.html ), imebainika Kinana na CCM wananufaika na mikataba hii
- Wawekezaji wanakaribishwa lakini wawe makini na mikataba ya kifisadi
Katika picha, Baraza Kuu la CHADEMA likiendelea. Tutajuzana kilichojiri muda si mrefu
Meza Kuu
UPDATES:
Zitto hii leo
- Gesi isiondoke mpaka serikali iiweke wazi mikataba yote kwa wananchi!
- Serikali iende ikae na wananchi na kuwasikiliza ili waridhiane. Kila kitu kisitishwe kwa sasa hadi maridhiano yawepo
- Kinana ni mmojawapo wa Wakurugenzi wa ARTUMAS (ref- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/15393-abdlahaman-kinana-na-artumas.html ), imebainika Kinana na CCM wananufaika na mikataba hii
- Wawekezaji wanakaribishwa lakini wawe makini na mikataba ya kifisadi
Katika picha, Baraza Kuu la CHADEMA likiendelea. Tutajuzana kilichojiri muda si mrefu
Meza Kuu
UPDATES:
Wakuu yule Kamanda aliyepewa Onyo kali na BAVICHA Burton Gwakisa leo amezua Zogo Diamond Jubilee Hall kwenye Mkutano wa Kamati kuu kwa kutaka kuingia kama Mjumbe wa Kamati kuu wakati hana nafasi hiyo.
Aliyemtambua ni mmoja wa Vijana waliokuwa wanahudumia wageni mapokezi.
Picha lilikuwa hivi..,jamaa alifika then akataka kusign kwenye kitabu cha wageni..,ndipo jamaa alipomhoji kuwa kuwa anaingia kama nani..,ndipo Red Brigade walipomtoa mpaka getini..
Gwakisa amekutana na Lemma akataka kumsalimia..,Lemma akamsonya na kumsukuma Mbali..!
Moja ya maazimio yaliyofikiwa na kikao kinachoendelea cha kamati kuu, ni kupeleka madaraka ya CHADEMA katika kanda kumi (10) ili kupunguza centralization of power makao makuu.
Huu ushauri ulitolewa hapa jamvini kwamba CHADEMA kama chama kijenge chama katika mfumo wa kimajimbo sasa wameipitisha tuone matunda yake yatakuwaje!
Zitto hii leo