UPDATES: Kutoka Baraza Kuu la CHADEMA - Diamond Jubilee Hall

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,583
6,633
Updates za Baadhi ya maazimio:

- Gesi isiondoke mpaka serikali iiweke wazi mikataba yote kwa wananchi!
- Serikali iende ikae na wananchi na kuwasikiliza ili waridhiane. Kila kitu kisitishwe kwa sasa hadi maridhiano yawepo
- Kinana ni mmojawapo wa Wakurugenzi wa ARTUMAS (ref- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/15393-abdlahaman-kinana-na-artumas.html ), imebainika Kinana na CCM wananufaika na mikataba hii
- Wawekezaji wanakaribishwa lakini wawe makini na mikataba ya kifisadi



Katika picha, Baraza Kuu la CHADEMA likiendelea. Tutajuzana kilichojiri muda si mrefu

attachment.php

Meza Kuu

attachment.php


attachment.php


UPDATES:
Wakuu yule Kamanda aliyepewa Onyo kali na BAVICHA Burton Gwakisa leo amezua Zogo Diamond Jubilee Hall kwenye Mkutano wa Kamati kuu kwa kutaka kuingia kama Mjumbe wa Kamati kuu wakati hana nafasi hiyo.

Aliyemtambua ni mmoja wa Vijana waliokuwa wanahudumia wageni mapokezi.

Picha lilikuwa hivi..,jamaa alifika then akataka kusign kwenye kitabu cha wageni..,ndipo jamaa alipomhoji kuwa kuwa anaingia kama nani..,ndipo Red Brigade walipomtoa mpaka getini..
Gwakisa amekutana na Lemma akataka kumsalimia..,Lemma akamsonya na kumsukuma Mbali..!
Moja ya maazimio yaliyofikiwa na kikao kinachoendelea cha kamati kuu, ni kupeleka madaraka ya CHADEMA katika kanda kumi (10) ili kupunguza centralization of power makao makuu.

Huu ushauri ulitolewa hapa jamvini kwamba CHADEMA kama chama kijenge chama katika mfumo wa kimajimbo sasa wameipitisha tuone matunda yake yatakuwaje!
attachment.php

Zitto hii leo
 

Attachments

  • meza-kuu.JPG
    meza-kuu.JPG
    64 KB · Views: 28,619
  • CHADEMA-NEC.jpg
    CHADEMA-NEC.jpg
    79.9 KB · Views: 14,983
  • CHAD.jpeg
    CHAD.jpeg
    57.3 KB · Views: 2,397
  • zitto-leo.JPG
    zitto-leo.JPG
    79.6 KB · Views: 15,663
  • kuwakumbuka-marehemu.JPG
    kuwakumbuka-marehemu.JPG
    65.8 KB · Views: 7,450
Wakuu yule Kamanda aliyepewa Onyo kali na BAVICHA Burton Gwakisa leo amezua Zogo Diamond Jubilee Hall kwenye Mkutano wa Kamati kuu kwa kutaka kuingia kama Mjumbe wa Kamati kuu wakati hana nafasi hiyo.

Aliyemtambua ni mmoja wa Vijana waliokuwa wanahudumia wageni mapokezi.

Picha lilikuwa hivi..,jamaa alifika then akataka kusign kwenye kitabu cha wageni..,ndipo jamaa alipomhoji kuwa kuwa anaingia kama nani..,ndipo Red Brigade walipomtoa mpaka getini..
 
Mkuu hakuna ajenda hata mmoja zilizoafikiwa na kuwekwa wazi wapenzi na wanachama?
 
Duu! Ukumbi umependeza kama walivyopendeza wajumbe wenyewe. Kweli Chadema ni chama makini chenye viongozi makini....tunasubiria maaUpdates
 
picha za nini sasa... Au ukiona picha unaelewa mada? Acha kunipotezea muda..
tumia akili kijana.nimesema cha kwanza ni watu kuketi.ndio hao wameketi kisha wataanza kuongea.wakianza kuongea ndio ataanza ku update wanachoongea.hizo picha zinakuuma nini?au wivu tuu wa kishamba?stop being cynical
 
Naona unatetea ujinga.. sijakataa wataongea ila for now picha hazisaidii kituu embu usijitoe ufahamu...
tumia akili kijana.nimesema cha kwanza ni watu kuketi.ndio hao wameketi kisha wataanza kuongea.wakianza kuongea ndio ataanza ku update wanachoongea.hizo picha zinakuuma nini?au wivu tuu wa kishamba?stop being cynical
 
Back
Top Bottom