hoja za shonza, magafu na kisandu zimefafanuliwa na kujibiwa????????????????????????????
Baraza kuu lipoteze muda wa kujadili watu ambao walishafukuzwa na kusahaulika.
hoja za shonza, magafu na kisandu zimefafanuliwa na kujibiwa????????????????????????????
No research No right to speak. Nani amekudanganya kuwa kafulila alfukuzwa?
hoja za shonza, magafu na kisandu zimefafanuliwa na kujibiwa????????????????????????????
Wana JF naona pro CDM wameamua kukalia updates za baraza,vipi hakuna muungwana yeyote mwenye mtambo wa kuingilia mawasiliano ya maongezi ya vikao atupe yanayojiri kikaangoni!!
Ninaamini kwamba cdm mnatumia nguvu zenu zote ili muingie ikulu lakini nawambia kwamba CHADEMA KUINGIA IKULU NI SAWA NA NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO ccm ina mbinu 375 za ushindi na ninyi chadema hata uwezo wa kuweka mawakala nchi nzima hamna hata kama mnao ni choka mbaya ambao hawawezi kulinda kura zenu hadi hatua ya mwisho hivyo nawashangaa mnaosema 2015 mnaingia ikulu pole sana.
Hakuna waliofukuzwa.
amesimama kama Malaki Paul Malaki Paul Uncut [HD] - Britains got talent 2012 (auditions) - YouTube
Zitto hii leo
Sasa we kwa akili yako hiyo uliyo nayo unadhani Lema amefanya sawasawa?!!
mkuu hakuna vijana wanaoumizwa.kinachotakiwa ni uvumilivu wa kisiasa..siasa ni mambo mengi na utendaji ni sehemu ndogo tu ya siasa.!Aha hahah Like Like Like
Nazijua bhana ila hawa CDM
wanambembwe sn alafu kumbe nao hawawezi wanadhani kufanya maamuzi magumu mchezo ninii ahah aha wasiwalaghai vijana wasiojua kuchambua siasa mkubwa wanawaumiza kwa manufaa yao inauma sana.
Mh! Jamaa unawaza kwa urefu wa pua, japo cdm wanao mawakala wa kutosha kakini hata hii kasi ya cdm haikupi majibu
Kwanza niliposema cap zenye visor umenielewa?
Pili, unaweza ukahutubia UN huku umevaa jeans na pama kichwani lakini haimaanishi kuwa umefanya jambo sahihi.
Utakuwa miongoni mwa wanaoendekeza urugaruga tu
out of context kabisaKwanza niliposema cap zenye visor umenielewa?
Pili, unaweza ukahutubia UN huku umevaa jeans na pama kichwani lakini haimaanishi kuwa umefanya jambo sahihi.
Utakuwa miongoni mwa wanaoendekeza urugaruga tu
Wanamume wakikaa mahali siku tatu ogopa hiyo kitu.CHADEMA nimoto wa gesi,wako wengije! Hiyo ni sababu ya wawakilish kutoka mikoani viva makamanda nawapenda sanaa hichi ndicho chama nilichokua nakiotaga kipindi niko darasa la nne niliku
na uchungu ila wakunisapoti hakuagepo sasa
najivunia kua CHADEMA hata mama angu anajua
Utatangaziwa acha kiherehere!