Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
Kweli mti wenye matunda utupiwa kila jiwe, Mwishowe utasema wangeweza kuwalipa walimu 100, Wanajeshi 10 na Polisi 300. kwa mwezi huu.Mkutano umeisha lakini hakuna jipya ni mazingira ya kupeana posho tu. Ukipiga hesabu za haraka haraka posho za mkutano kila mtu 60,000 x 150 = 9,000,000 posho ya chakula 10,000 x 150 = 1,500,000 ukumbi 2,000,000. Mafuta ya magari 2,000,000.
Hizi pesa unajenga madarasa mangapi au unajenga visima vya maji vya bei rahisi vingapi.
Chadema hebu acheni usanii kila wiki mkutano wiki mbili zilizopita mlifanya mkutano Moshi wiki iliyopita mlifanya mkutano Arusha leo tena mmefanya mkutano Dar es Salaam.
Huko kote mnagawana posho za mikutano.
Hivyo hawa ni mafisadi wa kodi za wananchi tuwashitaki.
Mkuu Ritz
Hii inaonyesha kuwa moyoni unajua CDM ndiyo inajishughulisha na maendeleo ya wa-Tanzania.