Leo Prezoo amepata MEZA sijui utaongea nini? Kweli unafiki ni kitu kibaya sana maishani...Finca...
ndio usubiri sasa kama unajua kuwa wataongea.wakianza ataweka hapa utaona.mbona mgumu kuelewa?umekula kwanza?mbona una haraka kama unatumia laptop ya shemeji yako?subiri updates zinakuja.naona unatetea ujinga.. Sijakataa wataongea ila for now picha hazisaidii kituu embu usijitoe ufahamu...
ndio usubiri sasa kama unajua kuwa wataongea.wakianza ataweka hapa utaona.mbona mgumu kuelewa?umekula kwanza?mbona una haraka kama unatumia laptop ya shemeji yako?subiri updates zinakuja.
Tishirt bomba hizo zinapatikana wapi?
Wamependeza sana mkuu vipi kuhusu mapato na matumizi na je yule bingwa wa kujikopesha pesa za umma amelejesha pesa au ameomba aongezewe muda wa kulipa pesa zetu naomba jibu mkuu,
:majani7::majani7:Naomba kuuliza, ZZk ni mjumbe katika mkutano mkuu??
lete hoja mkuu.. hapa hatutengenezi album za picha....
t-shirt nzuri mradi wa nani huo?
Finca...
ile thread ya huyo mwana ubwabwa ilitupwa kapuni sio?Leo Prezoo amepata MEZA sijui utaongea nini? Kweli unafiki ni kitu kibaya sana maishani...
Hehee nafurahi sana kuona ukomavu wa chama unapojidhihirisha kwakufanya maamuzi magumu!
Asante Mungu, 2015 hiyoooooo virusi wote wa ccm chaliiiii!
Haya nendeni huko huko mlikoahidiwa pepo ya mda tu!