- Thread starter
- #41
Shukrani sana ila tutaendelea kukuchukulia kwa tahadhari isije kuwa pia na wewe umekuja kuandika haya with a malicious intention.......! Goodevening!
Ben kuwa na imani kamanda, "tafuta post zangu utaujuwa mlenguo wangu" sisi ni wale maruhani tulioko front line tunajulikana kama "unsung heroes". peoplezzzzzzzzzzzz