Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Mods, hii inaweza kuunganishwa na main thread baadaye.
waendesha mashitaka leo wamekiri mahakamani Kisutu kuwa mashitaka waliyomfungulia Liyumba na mwenzake yana makosa. Kwa hiyo wameiomba mahakama kui-dismiss kesi hiyo. Lakini wamekataa Liyumba na mwenzake kuwa aquitted.
waendesha mashitaka leo wamekiri mahakamani Kisutu kuwa mashitaka waliyomfungulia Liyumba na mwenzake yana makosa. Kwa hiyo wameiomba mahakama kui-dismiss kesi hiyo. Lakini wamekataa Liyumba na mwenzake kuwa aquitted.