Uongozi wa juu wa chadema uangalie masuala haya kwa makini

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Taarifa kutoka ndani ya chama makao makuu zina sema kuwa kumejitokeza mgogoro wa kiuongozi ndani ya chadema kufuatia tofauti za maamuzi katika masuala kadhaa ya kitaifa.kumekuwa na kuvumiliana kwa kiasi kikubwa lakini wadau wanaeleza kuwa sasa hali imekuwa tete na haivumiliki tena.moja ya masuala ambayo yamekigawa chama ni pamoja na uamuzi wa chama kutuma ujumbe kwenda ikulu kuonana na rais.wapo waliopinga na wengine waliafiki lakini sasa walipinga wanahoji nini faida yake kwa chama kufuatia hatua ya rais kuusaini tofauti na msimamo wa cdm ambayo ilipinga.suala lingine linalokitafuna chama ni mgogoro wa madiwani arusha kufuatia uamuzi wa chama kuwafukuza uanachama madiwani wake watano.katika ngazi ya taifa wapo wanaopinga hatua hiyo kwa maelezo kwamba uamuzi huo umekiumiza chama.suala lingine ni posho kwa wabunge ambapo wapo wanaopinga na wengine wanaunga mkono......jambo lingine kubwa ni harakati za kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama mwaka 2014 ambapo nafasi inayoleta vuta nikuvute ni ya uenyekiti.wapo wanaopenda mwenyekiti aliyepo madarakani agombee tena wengine wanasema angeondoka hata leo...aachie vijana waonyeshe vipaji...

my take;nawashari viongozi wangu watulie na kuwa wamoja katika masuala haya ili chama kiendelee kukua..kuteleza si kuanguka..
 
Taarifa kutoka ndani ya chama makao makuu zina sema kuwa kumejitokeza mgogoro wa kiuongozi ndani ya chadema kufuatia tofauti za maamuzi katika masuala kadhaa ya kitaifa.kumekuwa na kuvumiliana kwa kiasi kikubwa lakini wadau wanaeleza kuwa sasa hali imekuwa tete na haivumiliki tena.moja ya masuala ambayo yamekigawa chama ni pamoja na uamuzi wa chama kutuma ujumbe kwenda ikulu kuonana na rais.wapo waliopinga na wengine waliafiki lakini sasa walipinga wanahoji nini faida yake kwa chama kufuatia hatua ya rais kuusaini tofauti na msimamo wa cdm ambayo ilipinga.suala lingine linalokitafuna chama ni mgogoro wa madiwani arusha kufuatia uamuzi wa chama kuwafukuza uanachama madiwani wake watano.katika ngazi ya taifa wapo wanaopinga hatua hiyo kwa maelezo kwamba uamuzi huo umekiumiza chama.suala lingine ni posho kwa wabunge ambapo wapo wanaopinga na wengine wanaunga mkono......jambo lingine kubwa ni harakati za kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama mwaka 2014 ambapo nafasi inayoleta vuta nikuvute ni ya uenyekiti.wapo wanaopenda mwenyekiti aliyepo madarakani agombee tena wengine wanasema angeondoka hata leo...aachie vijana waonyeshe vipaji...

my take;nawashari viongozi wangu watulie na kuwa wamoja katika masuala haya ili chama kiendelee kukua..kuteleza si kuanguka..

CDM kutofautiana lazima kuwepo katika mambo ambayo yanahusu watu wengi. Ninachowaasa CDM, lengo la kutofautiana liwe kusonga mbele na si kurudi nyuma.
Kitu cha msingi: Every CDM top leader has to play altruisim- you sacrifice your interests for the benefit of CDM. You sacrifice your life for the survival of the species -we say in ecology
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Taarifa kutoka ndani ya chama makao makuu zina sema kuwa kumejitokeza mgogoro wa kiuongozi ndani ya chadema kufuatia tofauti za maamuzi katika masuala kadhaa ya kitaifa.kumekuwa na kuvumiliana kwa kiasi kikubwa lakini wadau wanaeleza kuwa sasa hali imekuwa tete na haivumiliki tena.moja ya masuala ambayo yamekigawa chama ni pamoja na uamuzi wa chama kutuma ujumbe kwenda ikulu kuonana na rais.wapo waliopinga na wengine waliafiki lakini sasa walipinga wanahoji nini faida yake kwa chama kufuatia hatua ya rais kuusaini tofauti na msimamo wa cdm ambayo ilipinga.suala lingine linalokitafuna chama ni mgogoro wa madiwani arusha kufuatia uamuzi wa chama kuwafukuza uanachama madiwani wake watano.katika ngazi ya taifa wapo wanaopinga hatua hiyo kwa maelezo kwamba uamuzi huo umekiumiza chama.suala lingine ni posho kwa wabunge ambapo wapo wanaopinga na wengine wanaunga mkono......jambo lingine kubwa ni harakati za kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama mwaka 2014 ambapo nafasi inayoleta vuta nikuvute ni ya uenyekiti.wapo wanaopenda mwenyekiti aliyepo madarakani agombee tena wengine wanasema angeondoka hata leo...aachie vijana waonyeshe vipaji...

my take;nawashari viongozi wangu watulie na kuwa wamoja katika masuala haya ili chama kiendelee kukua..kuteleza si kuanguka..

Haya ni mambo ya Chadema tuwaachie wenyewe .Umeleta hapa mjadala huu sina hakika unataka nini maana kama hizi issue ni huko ndani na si ni JF faida gani sasa ?Au umewapelekea copy ya maandiko yako kwa utekelezaji ?
 
Taarifa kutoka ndani ya chama makao makuu zina sema kuwa kumejitokeza mgogoro wa kiuongozi ndani ya chadema kufuatia tofauti za maamuzi katika masuala kadhaa ya kitaifa.kumekuwa na kuvumiliana kwa kiasi kikubwa lakini wadau wanaeleza kuwa sasa hali imekuwa tete na haivumiliki tena.moja ya masuala ambayo yamekigawa chama ni pamoja na uamuzi wa chama kutuma ujumbe kwenda ikulu kuonana na rais.wapo waliopinga na wengine waliafiki lakini sasa walipinga wanahoji nini faida yake kwa chama kufuatia hatua ya rais kuusaini tofauti na msimamo wa cdm ambayo ilipinga.suala lingine linalokitafuna chama ni mgogoro wa madiwani arusha kufuatia uamuzi wa chama kuwafukuza uanachama madiwani wake watano.katika ngazi ya taifa wapo wanaopinga hatua hiyo kwa maelezo kwamba uamuzi huo umekiumiza chama.suala lingine ni posho kwa wabunge ambapo wapo wanaopinga na wengine wanaunga mkono......jambo lingine kubwa ni harakati za kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama mwaka 2014 ambapo nafasi inayoleta vuta nikuvute ni ya uenyekiti.wapo wanaopenda mwenyekiti aliyepo madarakani agombee tena wengine wanasema angeondoka hata leo...aachie vijana waonyeshe vipaji...

my take;nawashari viongozi wangu watulie na kuwa wamoja katika masuala haya ili chama kiendelee kukua..kuteleza si kuanguka..

Nadhani umejiunga humu kwa mission kamili
 
Haya ni mambo ya Chadema tuwaachie wenyewe .Umeleta hapa mjadala huu sina hakika unataka nini maana kama hizi issue ni huko ndani na si ni JF faida gani sasa ?Au umewapelekea copy ya maandiko yako kwa utekelezaji ?

Mkuu Lunyungu.

Ili ni jukwaa la siasa tunajadili issue za siasa muache jamaa hatupashe habari
 
Haya ni mambo ya Chadema tuwaachie wenyewe .Umeleta hapa mjadala huu sina hakika unataka nini maana kama hizi issue ni huko ndani na si ni JF faida gani sasa ?Au umewapelekea copy ya maandiko yako kwa utekelezaji ?

Nadhani Hojatete ana dhamira nzuri. Kuwataadharisha watu unaowapenda si vibaya. sasa naona mnaanza kumshambulia. Ana dhamira nzuri, wawe makini CDM kusudi mitazamo tofauti isije leta mafarakano, waivumilie.
 
lunyungu,kujiunga JF is free of charge lakini si lazima u comment kila thread,kama huna la kusema lala.great thinkers wanasema "Intallectuals never shout but urgue" naomba nisikutathmini,jitathmini mwenyewe.
 
Mimi na mchumba wangu sometimes tunatofautiana sembuse kusanyiko kubwa la vichwa vitupu kama cdm????????????????
 
Taarifa kutoka ndani ya chama makao makuu zina sema kuwa kumejitokeza mgogoro wa kiuongozi ndani ya chadema kufuatia tofauti za maamuzi katika masuala kadhaa ya kitaifa.kumekuwa na kuvumiliana kwa kiasi kikubwa lakini wadau wanaeleza kuwa sasa hali imekuwa tete na haivumiliki tena.moja ya masuala ambayo yamekigawa chama ni pamoja na uamuzi wa chama kutuma ujumbe kwenda ikulu kuonana na rais.wapo waliopinga na wengine waliafiki lakini sasa walipinga wanahoji nini faida yake kwa chama kufuatia hatua ya rais kuusaini tofauti na msimamo wa cdm ambayo ilipinga.suala lingine linalokitafuna chama ni mgogoro wa madiwani arusha kufuatia uamuzi wa chama kuwafukuza uanachama madiwani wake watano.katika ngazi ya taifa wapo wanaopinga hatua hiyo kwa maelezo kwamba uamuzi huo umekiumiza chama.suala lingine ni posho kwa wabunge ambapo wapo wanaopinga na wengine wanaunga mkono......jambo lingine kubwa ni harakati za kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama mwaka 2014 ambapo nafasi inayoleta vuta nikuvute ni ya uenyekiti.wapo wanaopenda mwenyekiti aliyepo madarakani agombee tena wengine wanasema angeondoka hata leo...aachie vijana waonyeshe vipaji...

my take;nawashari viongozi wangu watulie na kuwa wamoja katika masuala haya ili chama kiendelee kukua..kuteleza si kuanguka..

Dau kiasi gani unalopewa kwa hii deal! maana huko mihela tu! Lakini ebu fikiria, unapokuwa na kiongozi ambaye kwanza muongo, kigeugeu, aambiliki,mzinzi, mdini, mchonganishi na mshirikina unategemea deal yako itakuwa poa? Ikiwa aligeukwa mamvi wewe nani bana! U done ! bora uipotezee hii!
 
Ni kawaida makosa kutokea kadri kundi fulani linapojielekeza na maaamuzi mbali mbali.
Isipokuwa kukaa chini na kutafakari, kujikosoa ni jambo la kawaida ( hata huko CCM kuna madudu kibao).
Lengo kuu ndilo linafaa kuwa focused daima.
 
Hivi kwa nini hoja kama hizi huwa zinaletwa na watu waliojiunga ndani ya wiki au siku 3????????
 
Taarifa kutoka ndani ya chama makao makuu zina sema kuwa kumejitokeza mgogoro wa kiuongozi ndani ya chadema kufuatia tofauti za maamuzi katika masuala kadhaa ya kitaifa.kumekuwa na kuvumiliana kwa kiasi kikubwa lakini wadau wanaeleza kuwa sasa hali imekuwa tete na haivumiliki tena.moja ya masuala ambayo yamekigawa chama ni pamoja na uamuzi wa chama kutuma ujumbe kwenda ikulu kuonana na rais.wapo waliopinga na wengine waliafiki lakini sasa walipinga wanahoji nini faida yake kwa chama kufuatia hatua ya rais kuusaini tofauti na msimamo wa cdm ambayo ilipinga.suala lingine linalokitafuna chama ni mgogoro wa madiwani arusha kufuatia uamuzi wa chama kuwafukuza uanachama madiwani wake watano.katika ngazi ya taifa wapo wanaopinga hatua hiyo kwa maelezo kwamba uamuzi huo umekiumiza chama.suala lingine ni posho kwa wabunge ambapo wapo wanaopinga na wengine wanaunga mkono......jambo lingine kubwa ni harakati za kuelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama mwaka 2014 ambapo nafasi inayoleta vuta nikuvute ni ya uenyekiti.wapo wanaopenda mwenyekiti aliyepo madarakani agombee tena wengine wanasema angeondoka hata leo...aachie vijana waonyeshe vipaji...

my take;nawashari viongozi wangu watulie na kuwa wamoja katika masuala haya ili chama kiendelee kukua..kuteleza si kuanguka..

Kazi ya ibilisi kujifanya ndugu yako anakupenda kumbe mwongo/mchochezi. Ulikolalia ndiko walikoamkia wenzio. 'Ujenzi mpya plan ya zamani'.
 
Kutofautiana katika namna ya kufikia lengo ni kitu cha kawaida ndani ya chama cha kisiasa. Lakini cha muhimu hizo tofauti hizi lazima ziwe katika mfumo uliokubalika na chama. Si vizuri kwa mwanachama au mjumbe awe mtu wa kukubali kwa kila hoja iletwayo hata kama ana mtazamo tofauti.
 
Haya ni mambo ya Chadema tuwaachie wenyewe .Umeleta hapa mjadala huu sina hakika unataka nini maana kama hizi issue ni huko ndani na si ni JF faida gani sasa ?Au umewapelekea copy ya maandiko yako kwa utekelezaji ?
Mkuu Lunyungu, Chadema ni chama cha kitaifa, yaani ni public party na kinalipwa na fedha za walipa kodi, nikiwemo mimi wewe na yeye hata kama sio mwanachama. Kwa vile Chadema are paid by taxpayers money, the public has the right to know its public and private affairs kwa sababu ya kodi zao.

Kama mambo si shwari, yangekuwa ya chumbani, yasingetoka nje, maadam yameshuka hadi humu, now its a public concern!.

Mimi binafsi concern zangu kuhusu chama chetu hiki nilisha ziandika, japo wengi hunibeza, kwa vile its the plain truth, the truth will always prevail. Kwa mfano mpaka bado Chadema haijatoa taarifa kuhusu ile evening tea party na ile ile breakfast party ya pale ikulu, tulichoweza kuona ni jinsi tuu walivyosmile kwenye picha ya pamoja as if walipewa pipi!.

Baada ya taarifa ya para mbili, tunasubiri taarifa ya kina, kujiridhisha kama ile move was the right move na sio kujikomba komba kwa JK!.

Kwa upande wangu, nitaendelea kuandika makala za mitazamo yangu kuhusu mambo mbalimbali, ila nawashauri Chadema, kama kuna mahali wamefanya makosa, sio dhambi kukubali udhaifu, kurekebisha makosa na kusonga mbele.

Ule muswada tata, sasa ni sheria, there is nothing anybody can do short ya kutoa ushirikiano kwa tume!.
 
Hivi kwa nini hoja kama hizi huwa zinaletwa na watu waliojiunga ndani ya wiki au siku 3????????

They are always here. They in a MISSION IMPOSSIBLE. Wasikuumishe kichwa, Tanzania ya leo si ya 1995 walifanikiwa kuingiza fitna za kuivuruga NCCR na kumaliza umaarufu wa CUF. CDM sidhani kama wataweza kwani CDM si viongozi waliomo bali ni Wananchi wanaokiona kama Chama halisi cha ukombozi wao.
 
Hayo ndiyo mawazo yasiyojenga. hata kama amejiunga saa moja iliyopita unapaswa kujadili hoja kama unaona haifai unatoa sababu ambazo kwa waliowengi watazielewa. wewe umejiunga 2010 kuna watu wamejiunga mda mrefu kuliko wewe kwa hiyo wakudharau. Tatizo lenu mashabiki wa CDM hampendi challenges kitu ambacho mtakuja kupata faida yake mda si mrefu. kuhusu posho sio Siri Shibuda aliongea kikao kilichopita na Juzi tu mbunge wa Rombo kwa tiketi ya CDM kataka posho iongezwe wakati huohuo Zitto kalalamikia hiyo posho kwamba haina haja sasa hauoni kama kuna tatizo hapo? kama kweli kuna demokrasia mbona zito alitaka kugombea uenyekiti wazee wakamwambia hajitoe sasa haoni kama kuna msuguano. MFICHA MARADHI MAUTI UMFICHUA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom