George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu Wana JF,
Napenda kutoa pendekezo kwa uongozi wa Chadema kuanzisha Database ya computer itayotunza kumbukumbu muhimu za wanachama wake kama vile Majina kamili, Anwani za mwanachama, Number ya Simu,Email, Number ya Kadi ya kujiandikisha kupiga kura, sehemu aliyojiandikisha kupiga kura, Elimu ya mwanachama, Shughuri za uzalishaji za mwanachama, na data zingine muhimu.
Chadema wakiweza kuwa na database yenye information muhimu ya wanachama wake, itaweza kufaidika sana na mambo yafuatayo:
1.Itarahisisha mawasiliano na wanachama wake on regural basis through email,sms, barua au leaflets, hata pale wanapohitaji kupata maoni ya wanachama moja kwa moja kuhusu sera au mabadiliko flani, itarahisisha mawasiliano
2.Chadema itaweza kujua mtaji wao wa kisiasa ni kiasi gani na unaongezeka kwa kasi gani na itaweza kujiwekea malengo ambayo kutakuwa na chombo cha kupima kama wanachama wanaongezeka au la, kwa mfano: Sidhani kama chadema wana data za uhakika kujua operation sangara ilifanikiwa ku sajili wanachama wangapi
3. Kwa kuwa na database ya wanachama itarahisisha kuwa rank wanachama ili baadhi ya wanachama waweze kupewa majukumu ya kuwaleea kisiasa baadhi ya wanachama wachanga walio maeneeo yao
4.Database ya wanachama itasaidia kuweza kupata na ku recruit potential Leaders ndani ya chama na wagombea wa nafasi mbali mbali wa uongozi pindi inapotokea fursa hiyo, itasaidia chama kujua wanachama wake wenye potentials na vigezo vya kukubalika na kuwaandaa kugombea nafasi za uongozi.
5.Database hii itaweza kutumiwa na kitengo cha mawasiliano ya chama kuwahamasisha wanachama kujitokeza kwa wingi wakati wa kupiga kura,
6. Database hii ya wanachama inaweza kutumika kama nyenzo ya kupata taarifa muhimu za hujuma kwa chama au scandals mbali mbali na kero za wananchi
7.Database ya wanachama itaweza kutambua ni wanachama wapi ni hai na wanalipia kadi na michango yao kwa chama, na kuweza kuwakumbusha wajibu wao kwa chama.
8.Database hii itaweza kuwaweka wanachama karibu zaidi na kuwapasha taarifa mara kwa mara kupitia personalized email zaoo za chama, kwa mfano kila mwanachama wa chadema anaweza pewa email adress yake ya chama example: vnyerere@chadema.com
9.Kuwa na Database ya chama itaifanya chadema ifanye research zake kwa urahisi zaidi na kwa uhalisia, kwa mfano kama chama kinataka kusimamisha mgombea flani katika jimbo flani itaweza kufanya study zake kwa kuwasiliana na wanachama wa jimbo hilo bila kutumia gharama kubwa ya kuwa ajili REDET au Synovate
10. Chadema ni chama cha kisasa hivyo kinatakiwa kurahisisha utendaji ya kazi zake kwa kuikumbatia technologia ya computer na kuwa na database ya wanachama.
Ndugu wana JF, Chadema ina vijana wengi wasomi na wanavipaji na ubunifu wa ku design software imara itakayoweza kutumiwa na chama hivyo viongozi wetu watoe Tangazo hapa JF kuna wazalendo wanaweza kujitolea ku design sofware na hiyo database kwa manufaa ya chama kwa kujitolea au kwa ujira mdogo sana, kwani hii leo tukiwauliza uongozi wa chadema wanajua idadi halisi ya wanachama wake ambao ndio mtaji wa kisiasa, Nadhani kuna utata mkubwa, tena inawezekana Chadema wakawa na wanachama wengi kuliko ccm lakini bado uongozi haujajua jinsi ya kuwaweka wanachama karibu na chama na wakawa involved on the process.
Napenda kuwakilisha wazo langu wazalendo.
Napenda kutoa pendekezo kwa uongozi wa Chadema kuanzisha Database ya computer itayotunza kumbukumbu muhimu za wanachama wake kama vile Majina kamili, Anwani za mwanachama, Number ya Simu,Email, Number ya Kadi ya kujiandikisha kupiga kura, sehemu aliyojiandikisha kupiga kura, Elimu ya mwanachama, Shughuri za uzalishaji za mwanachama, na data zingine muhimu.
Chadema wakiweza kuwa na database yenye information muhimu ya wanachama wake, itaweza kufaidika sana na mambo yafuatayo:
1.Itarahisisha mawasiliano na wanachama wake on regural basis through email,sms, barua au leaflets, hata pale wanapohitaji kupata maoni ya wanachama moja kwa moja kuhusu sera au mabadiliko flani, itarahisisha mawasiliano
2.Chadema itaweza kujua mtaji wao wa kisiasa ni kiasi gani na unaongezeka kwa kasi gani na itaweza kujiwekea malengo ambayo kutakuwa na chombo cha kupima kama wanachama wanaongezeka au la, kwa mfano: Sidhani kama chadema wana data za uhakika kujua operation sangara ilifanikiwa ku sajili wanachama wangapi
3. Kwa kuwa na database ya wanachama itarahisisha kuwa rank wanachama ili baadhi ya wanachama waweze kupewa majukumu ya kuwaleea kisiasa baadhi ya wanachama wachanga walio maeneeo yao
4.Database ya wanachama itasaidia kuweza kupata na ku recruit potential Leaders ndani ya chama na wagombea wa nafasi mbali mbali wa uongozi pindi inapotokea fursa hiyo, itasaidia chama kujua wanachama wake wenye potentials na vigezo vya kukubalika na kuwaandaa kugombea nafasi za uongozi.
5.Database hii itaweza kutumiwa na kitengo cha mawasiliano ya chama kuwahamasisha wanachama kujitokeza kwa wingi wakati wa kupiga kura,
6. Database hii ya wanachama inaweza kutumika kama nyenzo ya kupata taarifa muhimu za hujuma kwa chama au scandals mbali mbali na kero za wananchi
7.Database ya wanachama itaweza kutambua ni wanachama wapi ni hai na wanalipia kadi na michango yao kwa chama, na kuweza kuwakumbusha wajibu wao kwa chama.
8.Database hii itaweza kuwaweka wanachama karibu zaidi na kuwapasha taarifa mara kwa mara kupitia personalized email zaoo za chama, kwa mfano kila mwanachama wa chadema anaweza pewa email adress yake ya chama example: vnyerere@chadema.com
9.Kuwa na Database ya chama itaifanya chadema ifanye research zake kwa urahisi zaidi na kwa uhalisia, kwa mfano kama chama kinataka kusimamisha mgombea flani katika jimbo flani itaweza kufanya study zake kwa kuwasiliana na wanachama wa jimbo hilo bila kutumia gharama kubwa ya kuwa ajili REDET au Synovate
10. Chadema ni chama cha kisasa hivyo kinatakiwa kurahisisha utendaji ya kazi zake kwa kuikumbatia technologia ya computer na kuwa na database ya wanachama.
Ndugu wana JF, Chadema ina vijana wengi wasomi na wanavipaji na ubunifu wa ku design software imara itakayoweza kutumiwa na chama hivyo viongozi wetu watoe Tangazo hapa JF kuna wazalendo wanaweza kujitolea ku design sofware na hiyo database kwa manufaa ya chama kwa kujitolea au kwa ujira mdogo sana, kwani hii leo tukiwauliza uongozi wa chadema wanajua idadi halisi ya wanachama wake ambao ndio mtaji wa kisiasa, Nadhani kuna utata mkubwa, tena inawezekana Chadema wakawa na wanachama wengi kuliko ccm lakini bado uongozi haujajua jinsi ya kuwaweka wanachama karibu na chama na wakawa involved on the process.
Napenda kuwakilisha wazo langu wazalendo.