Uongo wa Serikali au manispaa wanataka kutulalia?

kasinge

JF-Expert Member
May 22, 2011
1,259
319
Sisi ni walimu wa ajira mpya 2012 manispaa ya Kinondoni. Wakati tunaanza kazi Februari na kama ulivo utaratibu (standing order), tuliambiwa tuandae documents za kulipwa hela ya nauli, mizigo na wategemezi. Cha ajabu na kweli, tumejibiwa na afisa Elimu, tene anaye kaimu kuwa hatutalipwa hela hizo. Tutapata fadhila ya nauli tu endapo hazina itatoa hela. Sasa sijajua kama ni janja ya Kinondoni au ni Serikali. Sisi tuliomba hela kwa Mkurugenzi tukajibiwa na Afisa Elimu. Ebu naombeni root wana jf. Nimembatanisha barua tuyojibiwa.
 

Attachments

  • o.jpg
    o.jpg
    136 KB · Views: 41
Back
Top Bottom