- Thread starter
- #21
Wanaoisoma namba sasa tunawajua,na bado mpaka kieleweke!
Jamaa wapo kwenye maumivu makali sana.
Wanaoisoma namba sasa tunawajua,na bado mpaka kieleweke!
Lowassa kafanya vizuri na wala historia haitamhukumu . Pamoja na kuchakachuliwa bado kapata 40 percent !!. Lakini pia kushindwa ni sehemu ya USHINDANI
Mr Chin mwache mzee wetu apumzike . Kama unadhani ni rahisi nawe uje ugombee ----- wewe
Mwache mzee wetu apumzike. Hata hii kasi ya Magu ilichochewa na huyo mzee
kuna watu bado wako kwenye kampeni, hili tatizo la ajira ni bomu kwa taifa!
Sawa sisi manyumbu...lakini kwa ujanja wenu mumesababisha Magufuli kuanza kwa taabu saana na sisi manyumbu tutamuunga mkono na kumfichulia yote.Mumetusababishia ugumu wa maisha kwa MADELA ya shs 7000 tu.angalia wanavyopiga mabillion wenye nchi.