Uongo huu ni kwa faida ya nani: Mgomo bado upo

Mwendawazimu flani wa Milembe alipanda juu mti wa
mwembe asubuhi sana, akakaa mtini hadi kitu saa
kumi. Njaa ikamkaba mpaka penyewe...mara...chali
akadondoka chini kutoka kwenye mti. Daktari akaja
akamwuliza: Nini kinaendelea, kulikoni?
Mwendawazimu akamjibu: wala usijali sana hata mi nashangaa au ndo kusema"NIMEIVA!"?

Mkuu umenipa bonge la refreshment! hahaaa!!!
 
It is a living fact, this government has continually, wholesome intentionally and systematically lying. I for one had long decided to totally ignoring it.

My life is always better without it.
 
mmeshaambiwa humu kuwa hiyo ni kazi ya alibi network ndio wanaoeneza propaganda hizo
 
Leo niliwakuta wagonjwa wapya wanakuja na kukaa kwanye benchi hadi wanaamua kusepa wenyewe hamna huduma hapa.Propaganda zinaendelea ila wagonjwa nao wataeleza umma ukweli na hata wa kununua wapo ila mwisho wa siku wataumbuka

mkuu hao wagonjwa wenyewe wameamua kukaa kimya au ndo..Liwalo na liwe??? sijawasikia wakilalamika kwenye nedia kwamba hakuna huduma, na kikubwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alisema jana, source TBC news saa 2 usiku kuwa hospitali zote za manispaa zinafanya kazi na kuna kila dawa na vipimi hivyo wananhic waende huko kupata tiba...
 
Mi niliwatazama wale waliokuwa wakihojiwa jana kwenye TV na pia nakataza Body language ya msomaji wa hiyo Taarifa ya habari nkahisi kabisa msomaji mwenyewe hayaamini anayoyasoma, then walifanya pia interview na muheshimiwa wa Wizara ya afya, ile coment yake juu ya Dr Catherine Mng'ong'o eti hata naye yupo kazini while mchana wa hiyo jana tu alicoment kitu tofauti nikaishiwa nguvu kabisa dhidi ya uongo wa hi serikali, sijui wanamdanganya nani?
 
Ni mbinu chafu waliyo amua kuitumia. Muhimu hata wananchi ambao ndio wadanganyika wanatakiwa wafike mahali waseme hapana. Wasikubali kupokea taarifa tu hata kama ni sumu
 
Hapa mbona mnatuchanganya
hebu hawa madoc watuambie ukweli wenyewe hawa majuha mi siwa amini hata kidogo!

Mandingo mgomo uko pale pale na serikali imevibana vyombo vyote vya habari ili kuudanganya umma kama huamini njoo muhimbili au ujionee mwenyewe kwa macho yako jana jamaa wanajifurahisha hadi wana muattack kiongozi wa maspecialist kuwa eti yupo na anafanya kazi wameishiwa
Ila sasa wanaongeza vitisho kwa madaktari mmoja mmoja
Na sehemu zingine wanawaomba madr wafanye kazi halafu wawe wanawalipa elfu 50 kila siku...
 
Last edited by a moderator:
Wamezoea kutuvizia kwenye matembele na ahadi za kijuha, leo tumejificha kwenye maua kudadeki.......Hii ndio hali halisi huyo mkuu wa mkoa wa DSM anaongelea nini. Tamko la madaktari kuhusu kurudi kazini halijatoka tegemea ziro huduma.

Go Doctors, we are on your side.....

************************** wavuti - wavuti
 

Attachments

  • 2225518_orig.jpg
    2225518_orig.jpg
    31.8 KB · Views: 38
  • 4020229_orig.jpg
    4020229_orig.jpg
    40.7 KB · Views: 40
  • 6143378_orig.jpg
    6143378_orig.jpg
    41 KB · Views: 38
  • 8076000_orig.jpg
    8076000_orig.jpg
    35.7 KB · Views: 37
  • 8359984_orig.jpg
    8359984_orig.jpg
    45.1 KB · Views: 43
  • 8911184_orig.jpg
    8911184_orig.jpg
    32.8 KB · Views: 36
Hukumbuki Pinda alisema Liwalo na Liwe, na Jk alisema daktar anayetaka aendelee asiyetaka atafute pakwenda
Asubuhi hii nimetembelea hosipitali ya muhimbili , na taasisi ya mifupa ya MOI

nimeshuhudia kwa macho yangu Hakuna huduma kabisa!

kinachonisikitisha viongozi wa serikali, vyombo vya habari na wakuu wa taasisi hizi wanaeneza

uongo kuwa huduma zinaendelea kama kawaida.

Najiuliza uongo huu ni kwa faida ya nani?

Tunaipeleka wapi nchi hii wandugu,

ukweli uelezwe ili tatizo lipatiwe ufumbuzi.
 
Asubuhi hii nimetembelea hosipitali ya muhimbili , na taasisi ya mifupa ya MOI

nimeshuhudia kwa macho yangu Hakuna huduma kabisa!

kinachonisikitisha viongozi wa serikali, vyombo vya habari na wakuu wa taasisi hizi wanaeneza

uongo kuwa huduma zinaendelea kama kawaida.

Najiuliza uongo huu ni kwa faida ya nani?

Tunaipeleka wapi nchi hii wandugu,

ukweli uelezwe ili tatizo lipatiwe ufumbuzi.

Ulienda kutafuta uongo na majungu ya kuleta JF ndio sababu hukuona huduma zikitolewa

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wamezoea kutuvizia kwenye matembele na ahadi za kijuha, leo tumejificha kwenye maua kudadeki.......Hii ndio hali halisi huyo mkuu wa mkoa wa DSM anaongelea nini. Tamko la madaktari kuhusu kurudi kazini halijatoka tegemea ziro huduma.

Go Doctors, we are on your side.....

************************** wavuti - wavuti


Asante kwa mapicha mkuu.. Yani muhimbili nyeupeeeeeee! ndio kusema nchi hii wagonjwa wameisha ama? nimeona na video kule wavuti
picha: Ndani ya wodi za hospitali ya Muhimbili asubuhi ya leo - ************************** wavuti
 
Kama muhimbili neshino hosipitali iko wazi hivi, si wafungue gesti hapo tuende zetu kulala..halafu palivyo na maeneo ya wazi, tutapiga dansi mpaka watukome!! Lakini kuna mbu hapo
 
Wamezoea kutuvizia kwenye matembele na ahadi za kijuha, leo tumejificha kwenye maua kudadeki.......Hii ndio hali halisi huyo mkuu wa mkoa wa DSM anaongelea nini. Tamko la madaktari kuhusu kurudi kazini halijatoka tegemea ziro huduma.

Go Doctors, we are on your side.....

************************** wavuti - wavuti

hali sio nzuri kabisa

wapuuzi wa propaganda sijui wanafanya hivyo kwa faida ya nani
 
Temeke, amana na kijitonyama mgomo ni kama vile umepungua makali, watu wanapata matibabu
 
Nivigumu kuamini kwamba mpaka hivi leo Hakuna madakitari katika Hospitali kuu ya Muhimbili wala mawodini wagonjwa wanapata shida sana!!

Lakini lakusikitisha ni juu ya serikali kupitia kwa viongozi wake na kwenye vyombo vya habari wamekuwa wakipiga propaganda eti madakitari wamerudi kazini na huduma zinaendelea kama kawaida kitu ambacho siyo kweli!!
Madaktari hakuna na hakuna round yoyote inayofanywa na madakitari katika Hospitali kuu ya Muhimbili!!
Mapokezi milango imefungwa.
Serikali mnawasumbua wananchi kuja katika Hospitali ya Muhimbili wakati hawawezi kupata huduma yoyote!!Bora mseme ukweli kuliko kudanganya umma!!Kaeni na wahusika wamgomo huu kuliko kukaa kimya wanaoteseka ni wananchi!
 
Duh! Dhaifu and co.wana kazi, hawajui teknolojia ya propaganda ilishapitwa na wakati
 
Back
Top Bottom