Unlimited bundles zinazowekwa kwenye taasisi kubwa (free Wi-Fi)

Albendazole

Member
Jul 21, 2021
34
66
Habari wana jamii forums poleni na majukumu, Mimi ni member Mpya na ni post yangu ya kwanza. Natamani kujifunza kitu kuhusu hili swala kwa wanaofahamu.

Kwa Sasa gharama za bundle ziko juu sana karibu kila mtu anatafuta namna ya ku-solve au kutatua, wengi now days tunatumia kwa mawasiliano, kujifunza kwa biashara na kadhalika.

Kwa ambao wamewahi tumia zile unlimited bundle ambazo asilimia kubwa zinatumika sana sana kwenye taasisi kubwa kama ma-hospitali, vyuoni, hotel nk sometimes wanatumia Ethernet wire ambao umeunganishwa kwenye kila computer, sometimes wanatumia rooter ili kila mtu aweze ku access via Wi-Fi utaratibu wake na gharama zake zikoje?

Na what if kama nahitaji hiyo huduma kwa matumizi ya familia Nyumbani au kwenye number yangu peke yangu nikiwa popote pale, Je inawezekana? And how? Na kwa kulinganisha huduma za mitandao yetu ya simu Voda, tigo, hallotel na TTCl kupi kwenye uafadhali kwa ambao waliwahi tumia au bado wanatumia?

Nawasubiri wajuzi wa mambo!! Mje na majibu
 
Karibu JF.

Nikujibu kwa ufupi.

Internet huuzwa kwa njia mbili
1: Bundle (Unanunua MB/GB zako with unlimited speed. Zikiisha ndio zimeisha unanunua tena)

2: Speed ( hapa unauziwa speed matumizi ni wewe mwenyewe hata ukidownload nyumba, na mara nyingi inakua charge kwa mwezi)

---
Hizi za bundle tuziache sasa turudi ununuzi wa speed.

Zipo kampuni nyingi sana mfano Zuku, Go Fiber, TTCL, Vodacom n.k.

Cha kuzingatia ni coverage ya kampuni, ka upo maeneo ya mijini , city centre,msaaani, mikocheni ,masaki , upanga chukua hizi fiber ni cheap especially ZUKU

Ila kama upo mbali na Fiber Services tumia VODACOM SUPAKASI wanyo hiyo huduma. Kwa home usage ni around 115k na 165k kwa 10mbps na 20mbps per month.

Kwa home tumia tu 10mbps kwa fiber ungepata up to 40mbps kwa 129k

Kama una swali nipo tayari kukujibu tafadhali

NOTE; HUduma za data kwa kuuziwa spidi ni FIXED . either ufungiwe antenna (kama voda supakasi) au uletewe cable ya fiber

https://vodacom.co.tz/midSize
Pitia hapa kwa maelezo ya vodacom supakasi
 
Mfano hii ni Zuku Fiber tunatumia ofisi ni 129k /month ila ni
IMG-20230103-WA0012.jpg
 
Karibu JF.

Nikujibu kwa ufupi.

Internet huuzwa kwa njia mbili
1: Bundle (Unanunua MB/GB zako with unlimited speed. Zikiisha ndio zimeisha unanunua tena)

2: Speed ( hapa unauziwa speed matumizi ni wewe mwenyewe hata ukidownload nyumba, na mara nyingi inakua charge kwa mwezi)

---
Hizi za bundle tuziache sasa turudi ununuzi wa speed.

Zipo kampuni nyingi sana mfano Zuku, Go Fiber, TTCL, Vodacom n.k.

Cha kuzingatia ni coverage ya kampuni, ka upo maeneo ya mijini , city centre,msaaani, mikocheni ,masaki , upanga chukua hizi fiber ni cheap especially ZUKU

Ila kama upo mbali na Fiber Services tumia VODACOM SUPAKASI wanyo hiyo huduma. Kwa home usage ni around 115k na 165k kwa 10mbps na 20mbps per month.

Kwa home tumia tu 10mbps kwa fiber ungepata up to 40mbps kwa 129k

Kama una swali nipo tayari kukujibu tafadhali

NOTE; HUduma za data kwa kuuziwa spidi ni FIXED . either ufungiwe antenna (kama voda supakasi) au uletewe cable ya fiber

https://vodacom.co.tz/midSize
Pitia hapa kwa maelezo ya vodacom supakasi
Asante sana,hapo umenipa mwanga!! What if nikiweka home halafu users wakawa wengi?? Je gharama zitapanda?? Au what if users wakawa wachache au ikafika mwezi sikutumia kabisa vp!! Kuna punguzo au mabadiliko yoyote ya gharama ??
 
Asante sana,hapo umenipa mwanga!! What if nikiweka home halafu users wakawa wengi?? Je gharama zitapanda?? Au what if users wakawa wachache au ikafika mwezi sikutumia kabisa vp!! Kuna punguzo au mabadiliko yoyote ya gharama ??
Hapana. Ukiuziwa speed wao hawaangalii idadi ya watu wala matumizi.

Wewe tumia kadiri ya uwezo wako hatu muwe 1000. Japo device za supakasi zinalimit ta user 32.

Pia kwa kadiri mnavokuwa wengi connected kwa network, speed per user inapungua
 
Asante sana,hapo umenipa mwanga!! What if nikiweka home halafu users wakawa wengi?? Je gharama zitapanda?? Au what if users wakawa wachache au ikafika mwezi sikutumia kabisa vp!! Kuna punguzo au mabadiliko yoyote ya gharama ??
Ukinunua internet kwa speed maana yake utumie au usitumie pesa yao ya bill utalipa na wala hakuna punguzo.

Japo kampuni nyingi zinakua zina offer mfano zuku mara nyingi ukilipa package let say ya 40mbps unapewa ofa kupandishwa mpaka 100mbps
 
Back
Top Bottom