Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,883
- 2,374
Kama kweli wewe ni malaya, ujumbe unakuhusu, kama sivyo, basi ni kweli alikosea.
jipime mwenyewe.
jipime mwenyewe.
Habari zenu wakubwa,ebana jana ucku nimepokea txt kutoka kwa mmanzi wangu wa zaman yenye hayo maneno hapo juu,me nkawa nimekausha tu niusome mchezo kwanza,ikapita ka nusu saa,akanitumia tena txt nyngne akiniomba samahan,kwamba alikosea namba coz kuna mkaka anamsumbua na amemjbu hvo kiukali ili asiendelee kumsumbua,me kwa kwel cjamjbu chochote.sasa wakuu,ebu tuambiane kiutu uzima,ni kweli kwamba huyu mmanzi alikua kakosea namba au kuna namna nyingne ana maanisha hapo?
vp physics yao au mathematics yao inapanda?
Alidhamiria kukutukana hakuna kingine, alipoona upo kimya ikabidi aombe msamaha!
1 + 1 = 11
Yani nimesoma heading nikapata mshtuko,
Nilichokikuta ndani dah..........!!! :juggle:
Njia rahisi yakutaka kuongea nawe .
Amekukamata pabaya ukimjibu tu basi ..
Kasha weka tick kwenye box ...
Tumia angalao biology ujiongeze mwenyewe.ndo nataka kujua ana maana gan mkuu,maana me chemistry ya wanawake siilewi kabisa.
kwa hiyo ni vyema apige ganzi kama hataki shari...............
anataka kurudisha majeshi hapo ndo kaanza.
Habari zenu wakubwa,ebana jana ucku nimepokea txt kutoka kwa mmanzi wangu wa zaman yenye hayo maneno hapo juu,me nkawa nimekausha tu niusome mchezo kwanza,ikapita ka nusu saa,akanitumia tena txt nyngne akiniomba samahan,kwamba alikosea namba coz kuna mkaka anamsumbua na amemjbu hvo kiukali ili asiendelee kumsumbua,me kwa kwel cjamjbu chochote.sasa wakuu,ebu tuambiane kiutu uzima,ni kweli kwamba huyu mmanzi alikua kakosea namba au kuna namna nyingne ana maanisha hapo?