tegemea mtaachana soon. kitakachofuata atakufanyia kituko ambacho kitakufanya umtukane hilo tusi na yeye atakujibu kwa matusi mfululizo. mwisho wa siku atakuambia hakutaki. na ukimuomba msamaha ataanza kuwaambia marafiki zake kwamba haachwi anaacha. stuka.
Una akili sana wewe!!
ndo nataka kujua ana maana gan mkuu,maana me chemistry ya wanawake siilewi kabisa.
smile lugha tuu hii acha ukali.jaribu kuposti kistaarabu kuhusu wanawake napita tu hapa
tegemea mtaachana soon. kitakachofuata atakufanyia kituko ambacho kitakufanya umtukane hilo tusi na yeye atakujibu kwa matusi mfululizo. mwisho wa siku atakuambia hakutaki. na ukimuomba msamaha ataanza kuwaambia marafiki zake kwamba haachwi anaacha. stuka.
Habari zenu wakubwa,ebana jana ucku nimepokea txt kutoka kwa mmanzi wangu wa zaman yenye hayo maneno hapo juu,me nkawa nimekausha tu niusome mchezo kwanza,ikapita ka nusu saa,akanitumia tena txt nyngne akiniomba samahan,kwamba alikosea namba coz kuna mkaka anamsumbua na amemjbu hvo kiukali ili asiendelee kumsumbua,me kwa kwel cjamjbu chochote.sasa wakuu,ebu tuambiane kiutu uzima,ni kweli kwamba huyu mmanzi alikua kakosea namba au kuna namna nyingne ana maanisha hapo?
anataka kurudisha majeshi hapo ndo kaanza.
Habari zenu wakubwa,ebana jana ucku nimepokea txt kutoka kwa mmanzi wangu wa zaman yenye hayo maneno hapo juu,me nkawa nimekausha tu niusome mchezo kwanza,ikapita ka nusu saa,akanitumia tena txt nyngne akiniomba samahan,kwamba alikosea namba coz kuna mkaka anamsumbua na amemjbu hvo kiukali ili asiendelee kumsumbua,me kwa kwel cjamjbu chochote.sasa wakuu,ebu tuambiane kiutu uzima,ni kweli kwamba huyu mmanzi alikua kakosea namba au kuna namna nyingne ana maanisha hapo?