Uniform za Polisi wa Kenya ni zipi haswa? Naombeni ufafanuzi

Zinakuhusu nn ww?
4A474C74-9288-49B1-8E15-8A79D8B0AB83.jpeg
 
Wale polisi wanaovaa nguo ya kijeshi (kijani) wametoka GSU. Wote ni polisi lakini GSU kazi yao ni extra security, more advanced. Wale ni para military police. Kazi yao ni kuzima moto wowote ule.

wale huitwa fanya fujo uone (FFU), na wana roho ya unyama na hawajalishi kama wewe ni mtoto, jibwa, mzee ama majaamzito wao watakuadhibu vilivyo.

Ole wako mkipatana na wao wrong place wrong time. Utatiii!!

😂😭
 
Wale polisi wanaovaa nguo ya kijeshi (kijani) wametoka GSU. Wote ni polisi lakini GSU kazi yao ni extra security, more advanced. Wale ni para military police. Kazi yao ni kuzima moto wowote ule.

wale huitwa fanya fujo uone (FFU), na wana roho ya unyama na hawajalishi kama wewe ni mtoto, jibwa, mzee ama majaamzito wao watakuadhibu vilivyo.

Ole wako mkipatana na wao wrong place wrong time. Utatiii!!

😂😭
Wale hawaibi mikate supamaketi
 
Najua wanavaa blue lakini kwenye matukio mengi hasa hata ya kutangazwa kwa mshindi wa Urais wa Kenya hapo Bomas, naona askari wengi wamevaa kimbati za jeshi. Je nayo ni sehemu ya uniform za jeshi la polisi kenya?
Kikatiba, Kenya inatambua askari wa Nation Police Service (NPS). Sasa NPS imegawanywa mara mbili:

1. Kenya Police Service. Hawa ndi wale huva sare aza blue

1662871073560.png


Chini ya KPS, pia Kuna GSU na DCI. GSU ni wa wakati wa fujo na pia hawa ndio hutoa ulinzi Kwa Rais na Makamu wake. DCI Mara nyingi hawavai Sare. Sare Mpya ya GSU hapa Chini

1662871386228.png


2. Kando na KPS, kuna Administration Police ambao huhusika na kazi tofauti

1662871937444.png


Ikumbukwe kwamba kuna sare tofauti depending on the function. Halafu pia, kuna sare nzee na mpya. Huko bomas, hakukuwa na Majeshi bali wote walikuw ni polisi waliotaka vikosi tofauti tofauti
 
Back
Top Bottom