mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Piga ua kabisa
Hawa watu hawana huruma, na hawafai kupelekwa Mahakamani kwani huko lazima watatoka na kuendelea kuuua.
Hivyo jambazi ni bora kuwaua hakuna kupeleka Mahakamani.
Hongera sana Jeshi la Polisi ZNZ kwa kuwaua Majambazi.
Na kazi hii iendelee na kuwaua wezi wote wa Pesa za ESCROW pamoja na EPA.
MIZAMBW
INANIUMA SANA!!!
Hawa watu hawana huruma, na hawafai kupelekwa Mahakamani kwani huko lazima watatoka na kuendelea kuuua.
Hivyo jambazi ni bora kuwaua hakuna kupeleka Mahakamani.
Hongera sana Jeshi la Polisi ZNZ kwa kuwaua Majambazi.
Na kazi hii iendelee na kuwaua wezi wote wa Pesa za ESCROW pamoja na EPA.
MIZAMBW
INANIUMA SANA!!!