mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,306
- 6,514
Kwa taratibu za bunge la JMT kamati nyingi za bunge huundwa na wabunge wa vyama vya ushindani.
Moja ya kamati hizo ni PAC ambayo husimamia hesabu za serikali katika mashirika ya umma. Katika bunge la 10 kamati hiyo iliongozwa na Zitto Kabwe kabla ya kujiuzulu ubunge. Zitto na wenzake walifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa na kupata imani kwa watanzania walio wengi.
Bunge lijalo ungependelea nani aongoze kamati hiyo ili gurudumu la maendeleo Tz lishike kasi?
Unazi pembeni.....jadili hoja bila kutoa matusi au kejeli kwa mtoa mada au yeyote yule.
Karibuni
Moja ya kamati hizo ni PAC ambayo husimamia hesabu za serikali katika mashirika ya umma. Katika bunge la 10 kamati hiyo iliongozwa na Zitto Kabwe kabla ya kujiuzulu ubunge. Zitto na wenzake walifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa na kupata imani kwa watanzania walio wengi.
Bunge lijalo ungependelea nani aongoze kamati hiyo ili gurudumu la maendeleo Tz lishike kasi?
Unazi pembeni.....jadili hoja bila kutoa matusi au kejeli kwa mtoa mada au yeyote yule.
Karibuni