Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Habari za asubui wanajamvi wenzangu?natumaini mupo powaa! Ningependa kueleza tukio dogo ambalo limetukia ivi majuzi ili liweze kutufunza sisi na jamii inayotuzunguka. Rafiki wangu wa ukubwani ambaye utotoni sikucheza nae,juzi alikutana na mwanamke ambae alikua na mahusiano nae na aliwai mlala mara moja,walipokutana walisalimiana nae vizuri na kuzunguamza vizuri,basi mda kupita yule mwanamke akaomba simu ya rafiki,rafiki nae bila hiana akampa,mwanamke akachukua ile cm na kuanza ibonyeza,mara sura ikaanza badilika nakumrushia simu rafiki na kuondoka kwa hasira, rafiki hakujua tatizo nini kuja kugundua kumbe alisevu namba ya yule mwanamke MBWA. amejaribu wasiliana nae ili kulisuluhisha lakini wapi, mpaka sasa mahusiano yao co mazuri. Swali:je ungelikua wewe umekuta wewe umeseviwa ivyo ungelifanya nini?