JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,034
Mfano unababu yako ambaye ni tajiri sana. Katika dakika zake za mwisho karibu anakata roho anakuita. Anakwambia mjukuu wangu, nimekuachia milioni 100 kwenye kwe.. K....nye .. Kwe..... alafu anakata roho.... Utafanya nn?