Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,609
- 52,341
ni kuwanyima kura tu,
huu muda tuendelee kuwatazama na hivyo vituko vyao wanavyotufanyia
tuviweke kwenye kumbukumbu, kwa kuwa siku yao itafika tu.
huu muda tuendelee kuwatazama na hivyo vituko vyao wanavyotufanyia
tuviweke kwenye kumbukumbu, kwa kuwa siku yao itafika tu.
Ndio maana tunajadili. Nyumba yenye baba usiyetofautishwa na watoto, ni hatari. Nchi yetu inaangamia jamani. Tufanye kuiokoa maana tuliowapa dhamana heri wangelala bali hawafanyi tulichowatuma na wanatutusi!