Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wana jamvi tupeane changamoto kila mmoja ajiulize angekuwa ni Rais wa Jamuhuru angefanya nin.
Nimeona hili ni swali na msingi kwa kuwa inawezekana watalawala, washauri, na waaamuzi na sisi wenyewe katika ngazi mbali badala ya kutatua KIINI cha tatizo tuemkuwa tukijaribu na kupapasa kutatua MATOKEO ya MATATIZO HALISI.
Mfano kwa mtazamo wangu kashfa kama za EPA,RICHMOND,RADAR, BOT TWIN TOWER, JENGO LA UBALOZI ROME na mengine mengi ni matokea ya tatizo fulani.
Je kama rais zaidi ya kuhakisha matokea ya KASHFA yanatatuiwa ungefanya nini ili chanzo chake kifungwe kabisa?
Mtazamo wangu matatizo yote haya chanzo halisi ni MFUMO. Na Huu mfumo unasababisha tatizo la UWAJIBIKAJI.
Kutatua tatizo hili mimi kama rais nitabadilisha MFUMO wa kuwapata wahusika wa baadhi ya vyeo vya juu Vyeo kwenye wizaara ,idara na mikowa kuwa vya kutangazwa ili KUSAILIWA badala ya KUTEULIWA
Ningefanya mabadiliko haya
1. Ningeteua Jaji Mkuu kutokana na application walizofanya majaji
2. Makatibu wakuu wa wazira nao ningewateua kutonana na application walizoomba wale wanajiona wanaweza
3.Makatibu Tawala wa Mikoa na wakurugenzi pia zingekuwa nafasi za kusailiwa
Dhana hii hata kama sio kwa kiasi kikubwa naamini ingechochea uwajibikaji na kuwafanya wahuskia waliochaguliwa kutokana na usahili kufanya kazi kwa profesion ethics zaidi na KUJIAMINI.
Pili kuondoa mlolongo wa nafasi za juu kwenye wizara, idara kushikwa na watu wanaoteuliwa tu. ( Mfano Waziri , Katibu mkuu na wakurugenzi wa wizara wanateuliwa ) Nadhani taasisi yenyeny viongozi watatu ni wa kuteuliwa ni manzo wa UZEMBE na KUTOKUWAJIBIKA.
Haya virtual president u re in office lets see the vision of of each one of us.
Nimeona hili ni swali na msingi kwa kuwa inawezekana watalawala, washauri, na waaamuzi na sisi wenyewe katika ngazi mbali badala ya kutatua KIINI cha tatizo tuemkuwa tukijaribu na kupapasa kutatua MATOKEO ya MATATIZO HALISI.
Mfano kwa mtazamo wangu kashfa kama za EPA,RICHMOND,RADAR, BOT TWIN TOWER, JENGO LA UBALOZI ROME na mengine mengi ni matokea ya tatizo fulani.
Je kama rais zaidi ya kuhakisha matokea ya KASHFA yanatatuiwa ungefanya nini ili chanzo chake kifungwe kabisa?
Mtazamo wangu matatizo yote haya chanzo halisi ni MFUMO. Na Huu mfumo unasababisha tatizo la UWAJIBIKAJI.
Kutatua tatizo hili mimi kama rais nitabadilisha MFUMO wa kuwapata wahusika wa baadhi ya vyeo vya juu Vyeo kwenye wizaara ,idara na mikowa kuwa vya kutangazwa ili KUSAILIWA badala ya KUTEULIWA
Ningefanya mabadiliko haya
1. Ningeteua Jaji Mkuu kutokana na application walizofanya majaji
2. Makatibu wakuu wa wazira nao ningewateua kutonana na application walizoomba wale wanajiona wanaweza
3.Makatibu Tawala wa Mikoa na wakurugenzi pia zingekuwa nafasi za kusailiwa
Dhana hii hata kama sio kwa kiasi kikubwa naamini ingechochea uwajibikaji na kuwafanya wahuskia waliochaguliwa kutokana na usahili kufanya kazi kwa profesion ethics zaidi na KUJIAMINI.
Pili kuondoa mlolongo wa nafasi za juu kwenye wizara, idara kushikwa na watu wanaoteuliwa tu. ( Mfano Waziri , Katibu mkuu na wakurugenzi wa wizara wanateuliwa ) Nadhani taasisi yenyeny viongozi watatu ni wa kuteuliwa ni manzo wa UZEMBE na KUTOKUWAJIBIKA.
Haya virtual president u re in office lets see the vision of of each one of us.