Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Nimekaa nikatafakari na nikapata jibu kuwa ule unga alionyunyuzia mheshimiwa Andrew Chenge pale mjengoni usiku wa manane huenda umeisha nguvu maana kuna wabunge wa CCM wameshazinduka toka katika ile dozi aliyomwaga miaka michache iliyopita. Hii inamaanisha kuwa ule unga wa kuwafunga midomo wabunge a.k.a "limbwata" umeanza ku-expire.
Tena inaonekana unga huu unawakumba zaidi wabunge wa CCM maana kila kitu wanasema Ndiyooooo, au Chenge hakumwaga mwingi upande wanaokaa CHADEMA?
Ila habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa yule mganga aliyempa ule unga alishafariki ndio maana wabunge wengi wanatoka usingizini.
Tena inaonekana unga huu unawakumba zaidi wabunge wa CCM maana kila kitu wanasema Ndiyooooo, au Chenge hakumwaga mwingi upande wanaokaa CHADEMA?
Ila habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa yule mganga aliyempa ule unga alishafariki ndio maana wabunge wengi wanatoka usingizini.