inaonekana kuna watu hawafurahii maendeleo ya chama na hasa wao wanapokuwa mchango wao haujaonekana.mkuu umechambua vizuri na huo ndo ukweli wenyewe.na hawa wanaotawaliwa na fikra za udini,ukabila n.k ni akina nani hasa?je ni kwanini mtu mmoja anaachwa achezee chama atakavyo?mimi siamini kama kuna mwanachama ama kiongozi mwenye hati miliki ya chama.lazima wote tuwe na nia ya pamoja,malengo ya pamoja,falsafa moja,itikadi moja ktk chama.mh.mnyika na ndg.heche are the best in demostration,kwanini wengine wanajipa uhalali wa kuleta chuki pasi ya sababu je ndiyo njia ya kuyapata madaraka?