Undani wa John Mnyika na John Heche

inaonekana kuna watu hawafurahii maendeleo ya chama na hasa wao wanapokuwa mchango wao haujaonekana.mkuu umechambua vizuri na huo ndo ukweli wenyewe.na hawa wanaotawaliwa na fikra za udini,ukabila n.k ni akina nani hasa?je ni kwanini mtu mmoja anaachwa achezee chama atakavyo?mimi siamini kama kuna mwanachama ama kiongozi mwenye hati miliki ya chama.lazima wote tuwe na nia ya pamoja,malengo ya pamoja,falsafa moja,itikadi moja ktk chama.mh.mnyika na ndg.heche are the best in demostration,kwanini wengine wanajipa uhalali wa kuleta chuki pasi ya sababu je ndiyo njia ya kuyapata madaraka?
 
hivi Greyson Nyakarungu na Habib Mchange wanavyomtukana Heche na Slaa tanuruni ni Sawa au ni wanachama wa CHAMA gani?

 
WanaJF,
Mara ya mwisho kuzungumzia undani wa wanasiasa ilikuwa mwezi January mwaka huu kwa kuwazungumzia wanasiasa mashuhuri Tanzania Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.Niliahidi nitarudi tena na mada hii hii kuwajadili wanasiasa wengine.Na nitakuwa nikifanya hivyo mara kwa mara nipatapo nafasi bila kubagua wanasiasa kwa itikadi zao.

Leo nitaomba kuwajadili wanasiasa wengine mashuhuri katika anga la Tanzania.Wanasiasa hao ni John Mnyika-Mbunge wa Jimbo la Ubungo na John Heche-Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa.Nimewachanganya Pamoja kwa sababu wanashabihiana kwa mambo mengi lakini lamsingi likiwa Itikadi yao na misimamo yao kuhusu mambo ya msingi.

Mafanikio Misimamo yao:

-Kwanza wote hawa ni vijana na wamekuwa kama Role model kwa vijana wengi si kwa vijana wa CDM tu bali kwa vijana wa Itikadi zote.
-Ni vijana wenye misimamo isiyoyumba na wanakitetea kwa nguvu kile wanachokiamini bila kuogopa vitisho kutoka kwa yeyote.
-Kutokana na Karama za kiuongozi walizo nazo wamefanikiwa kufika nafasi za juu kabisa za uongozi kwa umri wao.John Mnyika mbali ya kuwa mbunge anayeongoza jimbo kubwa kabisa la Ubungo pia yeye ndiye msemaji mkuu wa chama chake cha CDM.John Heche ni kiongozi wa BAVICHA Taifa na mjumbe wa Kamati kuu ya chama chake CDM,chombo cha ngazi ya juu kabisa ndani ya chama chake.
-Vijana hawa wamekuwa wakifanya kazi kubwa ndani ya chama chao hasa kuimarisha chama vijijini na kukipigania chama.Mafanikio yoyote ndani ya CDM huwezi kuwakosa hawa vijana.
-Ni vijana ambao hawaamini katika siasa za makundi.Sikuzote wanaamini katika CDM Imara.Huwezi kuwakuta wakishabikia majina ya watu ndani ya chama chao bali wanashabikia sera na Itikadi ya CDM.
-Ni wanyenyekevu,watiifu na wanapenda kukosolewa.
-Vijana hawa wana heshima kubwa kwa viongozi wao ndani ya Chama na huheshimu siku zote busara za wazee.Lau wakikosoa basi hukosoa kwa staha kubwa.

Changamoto zao:

-John Heche na John Mnyika pamoja na sifa zote zilizotajwa juu bado wanachangamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwafikia vijana wengi zaidi hasa wa vijijini na kuwapa somo la Uraia hususan umuhimu wa kujiandikisha na kupiga kura kwani inaonekana vijana wengi ni wafuasi sugu wa CDM lakini hawajiandikishi wala kupiga kura.
-Kutokana na umaarufu wao wamejitokeza vijana wengine wenye chuki na mafanikio yao na kuwaandama kwa matusi na maneno ya uongo hasa kupitia mitandao ya kijamii.Hata hivyo bado vijana hawa wameonyesha subira kubwa kwa mashambulizi hayo.Hawajakata tamaa bali wanasonga mbele.

Kwa Viongozi wakuu wa CHADEMA.

-Kutokana na yote niliyoandika juu viongozi wakuu wa CDM wanapaswa kuwatia moyo vijana hawa ili wasonge mbele zaidi na wasikatishwe tamaa na maadui wa CDM.
-CDM kama chama wanapaswa kuandaa vijana wasomi wanaofuata nyayo za kina Mnyika na Heche.Hata hivyo nafarijika kuona wapo vijana ndani ya CDM wenye uwezo wa kufuata nyayo hizi.Kwa mfano yupo kijana anayeitwa Ben Saanane,kwa wanaofuatilia siasa zake watagundua kwamba ni kijana anayeonyesha uvumilivu wa hali ya juu.Ben Saanane amewahi kupata misukosuko ya kisiasa lakini alisimama imara kutetea anchoamini.Hakuwahi kukashifu viongozi wake wa chama katika uficho au kwa uwazi.Ben anaamini CDM kama taasisi imara na siyo makundi ya watu.Ninaweza kusema Ben Saanane ni matunda ya kazi nzuri za kina Mnyika na wenzake.Hata hivyo chama kiandae vijana wengi zaidi wa kufuata nyayo za kina Mnyika na Heche na siyo Ben Saanane tu...

WanaJF Karibuni kwa mjadala!

Mnyika

Ni kijana mwenye akili nyingi sana na kama kweli wako na Ben saanane sambamba basi ni hatua nzuri kwa kuwa Ben na Mnyika ni wanasiasa vijana wenye uwezo wa kujenga hoja na wakaeleweka ingawa kidogo Ben naona anafanya siasa za hatari hasa kuunda alliance na watu ambao wana historia mbaya kwenye chama.Huwa anajiamini kupita kiasi

Halikadhalika John Mnyika atamkomaza zaidi Ben huko tuendako na kama watafanya kazi karibu wataongeza ngivu katika safu ya vijana

Mnyika ameweza kuongeza haiba ya vijana

JOHN HECHE

Ni kiongozi mzuri.Nilihofia kama aliweza kuvumilia mikimiki ya vurugu za alliance ya akina Ben Saanane na lile kundi na hasa mkakati wa kumpiga vita na kumpindua
Ameweza kwenda vijijini
Naona ni jambo la kumshukuru Mungu kama hawa wameweza kukaa pamoja
Sasa naona hata vita ya Heche na makamu wake shonza itakosa nguvu.Ukimwondoa ben hapo akina mchange hawatakua na nguvu

Ben Saanane
Kosa lake kubwa ni kutulia.Bado anastahili kwenda sana vijijini.Hata ukiongea nae ana kwa ana utavutiwa nae
Pia haya maswala yake na wasichana wanatakiwa waache mara moja na hata Mnyika.Wanasiasa wakubwa na Bright wamejumiwa mara nyingi na kupenda kwao watoto.Vinginevyo hizi colabo hapa zimetulia mno.Nitafurahi siku moja nikiwaona heche,ben na Mnyika jukwaani au wakienda vijijini pamoja
 
Mkimaliza kujadili hii,mje mtuambie kwanini katika uchaguzi uliopita wa madiwani mmeambulia kata 5 tu!,ingawa mmefanya kampeni kubwa sana kila sehemu husika,kwa kutumia fedha za mzee sabodo.
Mkuu umeongea jambo la muhimu sana, hawajatoa maelezo ya maana jinsi chama kinavyoshindwa kusonga mbele kazi kujadili watu tu
 
Ben Saanane,
Kwa kweli ana sifa za kuwa kiongozi namkubali sana kuna kipindi cha miaka ya nyuma alikuwa anatukanwa sana humu JF watu wanabandika picha zake na za wadada wanamdhalilisha lakini mwenyewe alikuwa anajibu kwa hoja bila kashfa wala kejeli...Jamaa anatisha.
 
Last edited by a moderator:
WanaJF,
Mara ya mwisho kuzungumzia undani wa wanasiasa ilikuwa mwezi January mwaka huu kwa kuwazungumzia wanasiasa mashuhuri Tanzania Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.Niliahidi nitarudi tena na mada hii hii kuwajadili wanasiasa wengine.Na nitakuwa nikifanya hivyo mara kwa mara nipatapo nafasi bila kubagua wanasiasa kwa itikadi zao.

Leo nitaomba kuwajadili wanasiasa wengine mashuhuri katika anga la Tanzania.Wanasiasa hao ni John Mnyika-Mbunge wa Jimbo la Ubungo na John Heche-Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa.Nimewachanganya Pamoja kwa sababu wanashabihiana kwa mambo mengi lakini lamsingi likiwa Itikadi yao na misimamo yao kuhusu mambo ya msingi.

Mafanikio Misimamo yao:

-Kwanza wote hawa ni vijana na wamekuwa kama Role model kwa vijana wengi si kwa vijana wa CDM tu bali kwa vijana wa Itikadi zote.
-Ni vijana wenye misimamo isiyoyumba na wanakitetea kwa nguvu kile wanachokiamini bila kuogopa vitisho kutoka kwa yeyote.
-Kutokana na Karama za kiuongozi walizo nazo wamefanikiwa kufika nafasi za juu kabisa za uongozi kwa umri wao.John Mnyika mbali ya kuwa mbunge anayeongoza jimbo kubwa kabisa la Ubungo pia yeye ndiye msemaji mkuu wa chama chake cha CDM.John Heche ni kiongozi wa BAVICHA Taifa na mjumbe wa Kamati kuu ya chama chake CDM,chombo cha ngazi ya juu kabisa ndani ya chama chake.
-Vijana hawa wamekuwa wakifanya kazi kubwa ndani ya chama chao hasa kuimarisha chama vijijini na kukipigania chama.Mafanikio yoyote ndani ya CDM huwezi kuwakosa hawa vijana.
-Ni vijana ambao hawaamini katika siasa za makundi.Sikuzote wanaamini katika CDM Imara.Huwezi kuwakuta wakishabikia majina ya watu ndani ya chama chao bali wanashabikia sera na Itikadi ya CDM.
-Ni wanyenyekevu,watiifu na wanapenda kukosolewa.
-Vijana hawa wana heshima kubwa kwa viongozi wao ndani ya Chama na huheshimu siku zote busara za wazee.Lau wakikosoa basi hukosoa kwa staha kubwa.

Changamoto zao:

-John Heche na John Mnyika pamoja na sifa zote zilizotajwa juu bado wanachangamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwafikia vijana wengi zaidi hasa wa vijijini na kuwapa somo la Uraia hususan umuhimu wa kujiandikisha na kupiga kura kwani inaonekana vijana wengi ni wafuasi sugu wa CDM lakini hawajiandikishi wala kupiga kura.
-Kutokana na umaarufu wao wamejitokeza vijana wengine wenye chuki na mafanikio yao na kuwaandama kwa matusi na maneno ya uongo hasa kupitia mitandao ya kijamii.Hata hivyo bado vijana hawa wameonyesha subira kubwa kwa mashambulizi hayo.Hawajakata tamaa bali wanasonga mbele.

Kwa Viongozi wakuu wa CHADEMA.

-Kutokana na yote niliyoandika juu viongozi wakuu wa CDM wanapaswa kuwatia moyo vijana hawa ili wasonge mbele zaidi na wasikatishwe tamaa na maadui wa CDM.
-CDM kama chama wanapaswa kuandaa vijana wasomi wanaofuata nyayo za kina Mnyika na Heche.Hata hivyo nafarijika kuona wapo vijana ndani ya CDM wenye uwezo wa kufuata nyayo hizi.Kwa mfano yupo kijana anayeitwa Ben Saanane,kwa wanaofuatilia siasa zake watagundua kwamba ni kijana anayeonyesha uvumilivu wa hali ya juu.Ben Saanane amewahi kupata misukosuko ya kisiasa lakini alisimama imara kutetea anchoamini.Hakuwahi kukashifu viongozi wake wa chama katika uficho au kwa uwazi.Ben anaamini CDM kama taasisi imara na siyo makundi ya watu.Ninaweza kusema Ben Saanane ni matunda ya kazi nzuri za kina Mnyika na wenzake.Hata hivyo chama kiandae vijana wengi zaidi wa kufuata nyayo za kina Mnyika na Heche na siyo Ben Saanane tu...

WanaJF Karibuni kwa mjadala!

fmpiganaji,

Shukrani sana post yako.Kwa kweli inatia moyo sana sana.

Ni kweli tumekua na changamoto za hapa na pale lakini kadiri siku zinavyosonga mbele Vijana ndani ya CHADEMA tunazidi kuimarika

Ni kweli vijana wengi ambao ni wafuasi wa CHADEMA wanafurahi kutuona tukisimama kwa umoja kumuelekezea silaha zetu (Hoja/Fikra Mbadala) adui yetu(Mpinzani) ambaye ni CCM na mfumo adui kwa ustawi wa kundi la vijana na Taifa kwa ujumla

Tunaweza tusikubaliane mambo kadhaa kama ilivyo kawaida kwa taasisi yoyote yenye watu wengi wenye uwezo katika mazingira ya kidemokrasia bila kuathiri malengo ya pamoja na uwajibikaji.

Kama tunakipenda chama ni lazima tukilinde.Hakuna mtu anayestahili kukilinda chama hiki kama si mimi,wewe na wengine

Naamini BAVICHA imara ndiyo itakayobeba na kushawashi ajenda bora kwa vijana Tanzania.Kazi inaendelea kufanyika

Kukosoana ni lazima kuwe na tija na mara nyingi nomekua nikisizitiza umuhimu wa kuendelea kushirikiama kuhakikisha fan base tuliyo nayo inapiga kura.Mikakati mingine sitaitaja hapa ila tutashirikiana na baraza la vijana kwa karibu zaidi

Ukiona Ben Saanane anapiga hatua kubwa kiasi hiki ujue familia yangu ya Jamii Forums imechangia kwa kiasi kikubwa,wale wanaoniunga mkono,wanaonikosoa na wale wanaotoa kebehi.
 
Ben Saanane,
Kwa kweli ana sifa za kuwa kiongozi namkubali sana kuna kipindi cha miaka ya nyuma alikuwa anatukanwa sana humu JF watu wanabandika picha zake na za wadada wanamdhalilisha lakini mwenyewe alikuwa anajibu kwa hoja bila kashfa wala kejeli...Jamaa anatisha.

Huu ni mshangao wa Mwaka.unamkubali kada wa chadema?
Ritz unamkubali ben aliyeshabikiwa na molemo tena?mbona molemo hapendi ushabikie watu huko chadema kama zitto na wengine?
 
Last edited by a moderator:
Ben saanane kachukue jimbo kule rombo yule salakana anaaibisha ,watu wa Rombo wako smart wanajuhudi ,wabunifu watafiti na wanauelewa mkubwa,GO BRODA ww hazina kwa taifa
 
Mkuu umeongea jambo la muhimu sana, hawajatoa maelezo ya maana jinsi chama kinavyoshindwa kusonga mbele kazi kujadili watu tu

Mkuu wangu bado unataka katiba ibadilishwe ili ugombee urais? unaonekana hutaki vijana wengine ndani ya CHADEMA waibuke kama ulivyoibuka wewe.hujui wewe kutangaza nia ya urais ulichangia pia chama kupungukiwa kura?
 
WanaJF,
Mara ya mwisho kuzungumzia undani wa wanasiasa ilikuwa mwezi January mwaka huu kwa kuwazungumzia wanasiasa mashuhuri Tanzania Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.Niliahidi nitarudi tena na mada hii hii kuwajadili wanasiasa wengine.Na nitakuwa nikifanya hivyo mara kwa mara nipatapo nafasi bila kubagua wanasiasa kwa itikadi zao.

Leo nitaomba kuwajadili wanasiasa wengine mashuhuri katika anga la Tanzania.Wanasiasa hao ni John Mnyika-Mbunge wa Jimbo la Ubungo na John Heche-Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa.Nimewachanganya Pamoja kwa sababu wanashabihiana kwa mambo mengi lakini lamsingi likiwa Itikadi yao na misimamo yao kuhusu mambo ya msingi.

Mafanikio Misimamo yao:

-Kwanza wote hawa ni vijana na wamekuwa kama Role model kwa vijana wengi si kwa vijana wa CDM tu bali kwa vijana wa Itikadi zote.
-Ni vijana wenye misimamo isiyoyumba na wanakitetea kwa nguvu kile wanachokiamini bila kuogopa vitisho kutoka kwa yeyote.
-Kutokana na Karama za kiuongozi walizo nazo wamefanikiwa kufika nafasi za juu kabisa za uongozi kwa umri wao.John Mnyika mbali ya kuwa mbunge anayeongoza jimbo kubwa kabisa la Ubungo pia yeye ndiye msemaji mkuu wa chama chake cha CDM.John Heche ni kiongozi wa BAVICHA Taifa na mjumbe wa Kamati kuu ya chama chake CDM,chombo cha ngazi ya juu kabisa ndani ya chama chake.
-Vijana hawa wamekuwa wakifanya kazi kubwa ndani ya chama chao hasa kuimarisha chama vijijini na kukipigania chama.Mafanikio yoyote ndani ya CDM huwezi kuwakosa hawa vijana.
-Ni vijana ambao hawaamini katika siasa za makundi.Sikuzote wanaamini katika CDM Imara.Huwezi kuwakuta wakishabikia majina ya watu ndani ya chama chao bali wanashabikia sera na Itikadi ya CDM.
-Ni wanyenyekevu,watiifu na wanapenda kukosolewa.
-Vijana hawa wana heshima kubwa kwa viongozi wao ndani ya Chama na huheshimu siku zote busara za wazee.Lau wakikosoa basi hukosoa kwa staha kubwa.

Changamoto zao:

-John Heche na John Mnyika pamoja na sifa zote zilizotajwa juu bado wanachangamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwafikia vijana wengi zaidi hasa wa vijijini na kuwapa somo la Uraia hususan umuhimu wa kujiandikisha na kupiga kura kwani inaonekana vijana wengi ni wafuasi sugu wa CDM lakini hawajiandikishi wala kupiga kura.
-Kutokana na umaarufu wao wamejitokeza vijana wengine wenye chuki na mafanikio yao na kuwaandama kwa matusi na maneno ya uongo hasa kupitia mitandao ya kijamii.Hata hivyo bado vijana hawa wameonyesha subira kubwa kwa mashambulizi hayo.Hawajakata tamaa bali wanasonga mbele.

Kwa Viongozi wakuu wa CHADEMA.

-Kutokana na yote niliyoandika juu viongozi wakuu wa CDM wanapaswa kuwatia moyo vijana hawa ili wasonge mbele zaidi na wasikatishwe tamaa na maadui wa CDM.
-CDM kama chama wanapaswa kuandaa vijana wasomi wanaofuata nyayo za kina Mnyika na Heche.Hata hivyo nafarijika kuona wapo vijana ndani ya CDM wenye uwezo wa kufuata nyayo hizi.Kwa mfano yupo kijana anayeitwa Ben Saanane,kwa wanaofuatilia siasa zake watagundua kwamba ni kijana anayeonyesha uvumilivu wa hali ya juu.Ben Saanane amewahi kupata misukosuko ya kisiasa lakini alisimama imara kutetea anchoamini.Hakuwahi kukashifu viongozi wake wa chama katika uficho au kwa uwazi.Ben anaamini CDM kama taasisi imara na siyo makundi ya watu.Ninaweza kusema Ben Saanane ni matunda ya kazi nzuri za kina Mnyika na wenzake.Hata hivyo chama kiandae vijana wengi zaidi wa kufuata nyayo za kina Mnyika na Heche na siyo Ben Saanane tu...

WanaJF Karibuni kwa mjadala!


Hongera sana Mkuu kwa Analysis nzuri

Hawa vijana ni makini sana katika kazi zao na Heche kwa cku za karibuni ameenda vijijini zaidi ili kuwafikia vijana wengi sana kuwaelimisha na nakumbuka mawazo yako yanafanana sana na Melemo kwani alishawahi kuona uwezo wa HECHE na hata kutoa pendekezo la kumrithi Zitto Unaibu
 
hawezi kupambana na combination ya mboni mhita na sadifa wa Uvccm.Kama ni shule hata sadifa ana masters na wakili Anthoni Mavunde mjumbe wa baraza UVCCM anayo
Ana kazi sana kuongoza bavicha mwakani mbele ya hawa wadomi wa Uvccm.Kwa bahati nzuri mamluki wake paul makonda na akina felician tuliwadhibiti uvccm .hataweza dogo huyo
wewe acha ku compare majembe wa bavicha na vilaza wa uvccm ambao kazi yao kuu nikupigana makonde na kupokea rushwa...
 
nimekuwa nikimsoma ben saanane
huyu jamaa ni hazina na ni mzuri sana kwa kukitetea chama kwa ujumla

kwa sasa ben yupo kwenye uelekeo sahihi sana

MNYIKA NA HECHE kila mama duniani anatamani hawa wangekuwa watoto wake wa kuwazaa

Namtabiria Mnyika kuwa ndiye rais wa kwanza kutokea upinzani kuikalia IKULU

Nimefurahishwa na ufahamu wako ima wa kukusidia au wa kinasibu juu ya CDM kuchukua dola, maana ni kweli haitakuwa 2015 bali ni mpaka vijana kama mnyika watakapokuwa wameiva vema kuongoza watanzania. Mungu mwingi wa rehema amjalie yaliyo mema kijana huyu aendelee kuwa mwadilifu na mwenye kupenda kuhudumia watu wake, yasimkute ya chacha wangwe (ف. مات).
 
hivi Greyson Nyakarungu na Habib Mchange wanavyomtukana Heche na Slaa tanuruni ni Sawa au ni wanachama wa CHAMA gani?


Mkuu wangu they are wasting their time.Hakuna mtu yeyote mwenye kiwanda cha matusi atakayesalimika CDM.Mark my words!
 
Heche nae ni kijana kweli maajabu yapo Chadema.Halafu wote hao uliowataja ni wapeleka maji bafuni wa mwenyekiti

Wana Makundi wakina Shonza Nyie hamna Jipya chuki za kijinga tu
Toeni mawazo ya kuwajenga vijana hawa sio matusi
 
Hivi inamsaidia nini mtu kila siku kumtaja mwenzake kwa kuzungumzia mambo yake binafsi?
Mambo binafsi ya mtu, mathalani John Mnyika ama Ben Saanane yana athari gani chanya ama hasi kwa ustawi wa Chadema?
Wasiwasi wangu ni kwamba Ben ameonyesha kupiga hatua kubwa sana kisiasa sasa kuna watu wanamuonea wivu na wanadhani njia ya kumkwamisha ni kuanza kuzungumzia mambo yake binafsi.
Mwanzoni kulikuwa na fununu mitaani kwamba vijana wote waliogombea Bavicha na kuenguliwa wameunda alliance ya kuushambulia uongozi wa Bavicha na Chadema kwa ujumla.
Kwakuwa Ben naye alienguliwa akatajwa kuwemo katika huo ushirika haramu. Kadri siku zinavyokwenda ukweli umebainika kwamba Ben hayuko nao bali amefocus kukijenga chama na si kujenga watu binafsi. Naona hii ndiyo inamletea shida kidogo lakini naona ameshaishinda hiyo vita kwani mwenye macho haambiwi tazama.

Mkuu Mwita Maranya
Kuna maandiko fulani yanasema acha magugu na ngano vikue pamoja shambani na wakati wa mavuno magugu yatatengwa mbali na ngano.Na kazi itakuwa moja tu kuyakusanya magugu na kuyachoma moto huku ngano ikiwekwa ghalani.Na ndivyo sasa inavyoonekana.Tayari magugu yanaonekana na ngano imeonekana.Tunasubiri tu siku ya mavuno.
Endelea kupigania chama chako Kamanda Ben.
 
Last edited by a moderator:
Wana Makundi wakina Shonza Nyie hamna Jipya chuki za kijinga tu
Toeni mawazo ya kuwajenga vijana hawa sio matusi

Mkuu Igwa,watu wengine wana vichwa vya kufugia nywele kwa hiyo usishangae.Mkuu Fmpiganaji kaleta analysis nzuri sana na wala hajakashifu mtu yeyote.Bali ukichunguxa kaleta mada inayokijenga CDM.Utashangaa mtu anajiita.kijana wa CDM halafu anapinga tena kwa kejeli Analysis iliyoenda shule kama hii.
 
Ben Saanane,
Kwa kweli ana sifa za kuwa kiongozi namkubali sana kuna kipindi cha miaka ya nyuma alikuwa anatukanwa sana humu JF watu wanabandika picha zake na za wadada wanamdhalilisha lakini mwenyewe alikuwa anajibu kwa hoja bila kashfa wala kejeli...Jamaa anatisha.

Mkuu Ritz kwa mara ya kwanza nikubaliane na wewe.Hata kama umeandika kwa nia mbaya itakuwa ni shauri yako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom