Lichinga
Member
- Jun 7, 2013
- 18
- 3
mkuu umenena,kwan zitto n kiongoz chdm sasa magamba wana maslahi gan naye mpaka washabikie yale anayo yafanya? Ndiyo maana tunasema magamba hawakuzichanga vzuri karata zao kwenye hili.Nakubaliana na wewe kwamba ni kwa mtazamo wako!
Na si mtazamo tu bali hata na "IMANI" yako ndivyo ilivyo kwake!
Mimi naamini kazi ya ZZK huku CHADEMA,...
Swali ni je, kuna nini hadi CCM wafurahie kazi ya kuimarika kwa upinzani?!
Haya ni mapenzi ya PAKA kwa PANYA