Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
NIKO bandarini hapa Malindi, nimemkamata Mchina mmoja akiwa na mkoba mmoja mkubwa sana, nimemsachi nimemkuta na mavuzi kama kilo 7 hivi. Nimemuhoji amesema kuwa anayatumia kama mboga, kasema ananunua kilo kwa shilingi za Kibongo 30,000. Nimempa namba yako atakupigia najua unazo zaidi ya kilo kumi. Usiyanyoe ndugu yangu kuna dili hapa atakutafuta muda si mrefu, mwambie na mkeo.