Mara nyingi imezoeleka kuwa Vimelea vya Ukimwi 'VVU' vinaambukzwa kwa njia ya damu. Hivi kunyonyana mate na mtu ambae ni muathirika wa HIV/AIDS anaweza kukuambukiza virusi vya Ukimwi? Na kama ni NDIO, Kuna njia mbadla ya kinga kwa wale ambao wanapenda kula denda?