Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,021
Pumba Express!!Punguza Ushamba. Wapi nimeandika kuwa nawajua wote ama najua zaidi? Nawafahamu hao niliowataja tu na kama mtu kakosea kuwataja nadhani ni wajibu kumuambia asipotoshe na kusahihisha, kosa liko wapi.
Comrade, kama kuna mtu anajua ni nani ana mabasi mengi kati ya Shabiby na Abood na wewe HUJUI, mpe sifa yake badala ya kulalama kuwa anataka sifa za Kijinga. Ndivyo watu wanavyojifunza, kuelimika na kupata UELEWA. Pole We.