Hivi na wewe hujui kama siku hizi kuna Effect ya kuifanya picha itokee unavyotaka?Enzi za Black and White, tulikuwa tukiwasikia kwenye redio sidhani kama tunawajua kwa sura.
Najua hiyo kitu ipo hii picha si ya leo jana wala juzi, you are roughly talking about 15+ back....morestill ni zama za kufatia camera studio angalia background.Hivi na wewe hujui kama siku hizi kuna Effect ya kuifanya picha itokee unavyotaka?
Hapo namuona uncle J, Suzan Mungi na marehemu John Ngahyoma R.I.P.
Kipindi cha picha hiyo inapigwa tulikuwa hatupo kwenye zama za black & white unless utake mwenyewe hiyo black & white na hata sehemu nyingi hasa vyeti vya shule walikuwa wanahitji upeleke black & white. kitu ambacho wakati huo hatukuwa nacho ni Digital technology tu.Najua hiyo kitu ipo hii picha si ya leo jana wala juzi, you are roughly talking about 15+ back....morestill ni zama za kufatia camera studio angalia background.
Kipindi cha picha hiyo inapigwa tulikuwa hatupo kwenye zama za black & white unless utake mwenyewe hiyo black & white na hata sehemu nyingi hasa vyeti vya shule walikuwa wanahitji upeleke black & white. kitu ambacho wakati huo hatukuwa nacho ni Digital technology tu.
......I love you!!and your point is....
......I love you!!
Me too, niko hoi
Hivi na wewe hujui kama siku hizi kuna Effect ya kuifanya picha itokee unavyotaka?
Hapo namuona uncle J, Suzan Mungi na marehemu John Ngahyoma R.I.P.
Ingependeza zaidi kama ungetutajia wote waliopo kwenye picha hapo nadhani tungeona kweli unajuwa zaidi, maana unaonekana huna tofauti na wale wanaojifanya wanajuwa idadi ya Mabasi kati ya Shabiby na Abood nani anamiliki mabasi mengi....Kama hujui Uliza, Usipotoshe! Hakuna Suzan Mungy hapo. NI Sauda Simba Kilumanga kushoto na Rukia Mtingwa Kulia!
RIP John Ngahyoma. We Miss You man!
Ingependeza zaidi kama ungetutajia wote waliopo kwenye picha hapo nadhani tungeona kweli unajuwa zaidi, maana unaonekana huna tofauti na wale wanaojifanya wanajuwa idadi ya Mabasi kati ya Shabiby na Abood nani anamiliki mabasi mengi.
Sifa za kijinga!!....