Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Kama mtanzania mwenye mapenzi nini mtazamo wako kuhusu Dr Ulimboka na kurudi kwake Tz baada ya matibabu kukamilika na hatma ya maisha yake?
Kitendo cha kutaka kumtowa roho Dr Ulimboka kimewapelekea wafanyakazi kuondokana na mawazo ya kufanya migomo kwa kuhofia maisha yao.
Kuna baadhi yetu wanasema ametia Dowa Tanzania na kuna baadhi yetu wanasema ametia dowa ikulu na kumkashifisha Rais wa nchi katika Ulimwengu .
Kitendo cha kutaka kumtowa roho Dr Ulimboka kimewapelekea wafanyakazi kuondokana na mawazo ya kufanya migomo kwa kuhofia maisha yao.
Kuna baadhi yetu wanasema ametia Dowa Tanzania na kuna baadhi yetu wanasema ametia dowa ikulu na kumkashifisha Rais wa nchi katika Ulimwengu .