Ikiwa Chadema tutamkaribisha Lowasa kuwa mgombea tutapoteza kura nyingi sana za watu wetu walio katika uwanja wa mapambano kwa miaka mingi. Lowasa hatashinda urais na tutakuwa tumerudi nyuma miaka 10. Kama amechukia sana vitendo alivyofanyiwa na CCM basi amsaidie mgombea wa Ukawa na si yeye kugombea.
Ndiyo . Menye ushahidi wa ufisadi wake atusaidie ndugu zangu, kwani Kuna utata, pia najiuliza wezi wanashktakiwa kwa wizi, kwanini hawamshitaki au wanamwogopa? Maana tokea 2008 Mzee Lowassa alijiuzulu.
Hivi si lowasa huyuhuyu juzi kwenye safari yake ya matumaini alikuwa anawaambia watu kwamba wasikubali nchi kuongozwa na chama pinzani??? Sasa huku pinzani alikoenda atawaambiaje wananchi?? Serious Lowasa anaboa,na sijui kwanini anatafuta urais kwa nguvu hivyo,na upinzani napo wakimpa kugombea urais hakika CCM watashinda uchaguzi wa October kwa kishindo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.