Hata kama ili kuiondoa ccm inabidi kumkodi Lucifer mie nasema ndio kwani hatuwaondoi watu Bali mfumo mbovu.
Uongozi wa Ukawa unaweza kuingia msdarakani na yeyote yule lakini kwa mfumo wao atadhibitiwa tuu.
MUHIMU KWA SASA NI CCM KUONDOKA TUU
Nawaza tu hapa. Chadema wamekubali Lowasa anapitishwa then one week before uchaguzi anajitoa au kumuunga mkono Magufuli. Si bao la mkono litakuwa limetimia hilo kama Nape anavyosema! Tafakalini kwa umakini hapo
Uchaguz unasogezwa mbele