Unatembelea tovuti gani mara kwa mara?

Na toka mwaka huuu uanze tovuti ya DailyTech imeongezeka kwenye list yangu. Naipenda kwa Breaking and detailed explanation of techy news.
 
Napenda kutembelea,

1. JF.....whetever I wake up!
2. Google and yahoo
3. Onlinenewspapers (local and foregn news)
4. theworldlastchange
5. mjengwa blogspot
 
me huwa napitia hizi
1.jamii forums
2.yahoo news
3.the pirate bay.org
4.facebook
5.wired
6.news
7.cnn
8.issa michuz
 
Kwanza kabisa nilikuwa addict na facebook haipiti nusu saa bila ya kuingia lakini nilipokujagundua ina majungu,umbea majisifu na vitu vingine vya ajabu ajabu nikajaribu jf daah yaani hapo nimenasa kabisa haipiti dk 10 bila ya kupita hapo jf,coz i like it wamejaa watu wenye akili zao na heshima zao ukileta mambo ya kitoto kama ya kwenye facebook utashambuliwa hadi ujute.
 
ign,google,jf,mashable,cnet,kat,gsmarena,techrunch,youtube,motionempire,isohunt..
 
jf nshakuwa addicted
fb imeniungania na class mate wa kuanzia pr school
8020 fashion & florah saloon,
dina marrios,
michuzi
yahoo & google kusoma mail tu
Harusi yangu forum kunamada nzuri sana za MMU
 
Mi hutwanga:
1.ymlp.com---kuangalia my new registered users.
2.4shared.com--kuangalia download zangu.
3.gmail.com---kuangalia email mpya na kujibu.
4.zymic server--to check my website status.
5.mediacollege.com--kusoma kitu kipya kuhusu video production.
6.JF--To rest and talk with my fellows about technology.
7.cplusplcus.com--to empower my c++ skill.
8.qt.nokia.com---to check my what is new in my beloved fellow company.
9.Kitandani.com--kulala na kupumzika
-----------------------------------------------------------------
Hiyo niratiba yangu kwa net siku mzima-
 
Back
Top Bottom