CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
honestly nipate hata baiskeli za swala ntamshukuru maulana,,,,,,,maana gari mmmmh
ndo hvo bana public transport zinabore kweli hasa nyakat za asubuh na jîon
honestly nipate hata baiskeli za swala ntamshukuru maulana,,,,,,,maana gari mmmmh
mbweta n king kong,sikumbuki exactly percentage,ila ukweli ni kwamba waziri alisema gazi za 2008(kama sikosei)kurud nyuma tozo la kodi limeongezeka