Isaya J Elisha
Member
- Nov 8, 2016
- 23
- 33
Hii ndio njia pekee ya kutongoza bila kukataliwa
Huwa nawaambia wanaume wenzangu.
Nguvu kubwa ya mwanamke iko kwenye "Communication". Mawasiliano
Wakati sisi tunacheza cha ndimu, wao walikuwa wana socilize, wakati sisi tunanunua six yenye meno ya chuma na kugombana uwanjani
Wanawake walikuwa wanajifunza jinsi ya kuishi na watu
Nataka nikuambie, huwezi ukapendwa na kila mwanamke, ukiona unamuona mwanamke kwa mara ya kwanza na your first instict ni kumuoa au kulala nae
Ndugu yangu, kuna fuse imecheza kichwani inabidi ufanyiwe maombi
Fuata njia zifuatazo, ili kuhakikisha ushindi kila unapo tongoza
Nguvu kubwa ya mwanaume, ipo kwenye "Actions". Umeona demu unae vutiwa nae first instict ni kuchukua namba, na kushusha mistari
Asilimia kubwa ya wanaume sio great communicators, ni watu wa matendo zaidi
Hakikisha kabla ya kushusha nyavu "The girl is interested in you". Hakikisha kwamba demu anavutiwa na wewe
Comfort zone kwa mwanamke ni mawasiliano, hawapendi kuchukua hatua, asipo kupenda atatumia njia hiyo kuwasilisha ujumbe narudia asipo kupenda atatumia njia hiyo kuwasilisha ujumbe
Akikikupenda ata toka kwenye comfort zone "Communication" na kufanya kwa vitendo
Wanaume wengi wanalalamika "Ananipa mixed signals" kuna wakati anaonekana kama ananipenda kuna wakati she is so cold
Mimi huwa nawajibu "The medium is the message" kama yuko hivyo ni kwasababu she is not interested anaangalia option alizo nazo na "You are not her best option"
You must appreciate a woman ambae "Ametoka kwenye comfort zone yake akafanya kwa vitendo" she is a keeper
Wanaume wengi , wanakuwa kwenye mahusiano ambayo ni ya upande mmoja, mahusiano ya kuchosha na kugongewa kila mara kwasababu wanalazimisha kuwa kwenye mahusiano na "Wanawake ambao hawawapendi"
Unakuta mtu king'ang'anizi sehemu ambapo ameshaonyeshwa alama zote kuwa hatakiwi
Ukiwa na demu kwenye mahusiano ambae anakutafuta akiwa kwenye shida, ana mahitaji. Demu ambae inaweza ikapita mwezi hata miezi mpaka akutafute/umtafute
Ukimuuliza anakuambia "Kwani lazima tuongee kila siku?", "Nilipitiwa", "Nilikuwa busy", "Sikuwa na vocha"
Wewe ni kipi kingine unataka uonyeshwe ili uelewe?, yani kwenye nchi ambayo kuna wanawake wengi kuliko wanaume unachagua "Kuteswa na mapenzi"
Hapa ndio maana nawashauri ukiona mwanamke wa aina hii "Spin plate" go no contact na dont be exclusive na mwanamke wa aina hii
Azungukeee akirudi haimaanishi anakupenda, wewe jua hili
She is not interested, ukilazimisha utapigwa matukio akili ikae sawa
Hakikisha una reciprocate matendo mazuri anayo kufanyia mwanamke, that's is her way of showing interest
Inawezekana conversation inakufa akatumia nguvu kuiendeleza, hawezi kukaa bila kukutafuta, is she considerate (akiwa anafanya maamuzi anafikiria kama "Sisi" au "Mimi"
Mwanamke ambae hana interest na wewe anapenda kutumia neno "Mimi" zaidi anapoongelea future
Only be interested when she is interested, unajenga mahusiano ya pande mbili sio moja
Huwa nawaambia wanaume wenzangu.
Nguvu kubwa ya mwanamke iko kwenye "Communication". Mawasiliano
Wakati sisi tunacheza cha ndimu, wao walikuwa wana socilize, wakati sisi tunanunua six yenye meno ya chuma na kugombana uwanjani
Wanawake walikuwa wanajifunza jinsi ya kuishi na watu
Nataka nikuambie, huwezi ukapendwa na kila mwanamke, ukiona unamuona mwanamke kwa mara ya kwanza na your first instict ni kumuoa au kulala nae
Ndugu yangu, kuna fuse imecheza kichwani inabidi ufanyiwe maombi
Fuata njia zifuatazo, ili kuhakikisha ushindi kila unapo tongoza
Nguvu kubwa ya mwanaume, ipo kwenye "Actions". Umeona demu unae vutiwa nae first instict ni kuchukua namba, na kushusha mistari
Asilimia kubwa ya wanaume sio great communicators, ni watu wa matendo zaidi
Hakikisha kabla ya kushusha nyavu "The girl is interested in you". Hakikisha kwamba demu anavutiwa na wewe
Comfort zone kwa mwanamke ni mawasiliano, hawapendi kuchukua hatua, asipo kupenda atatumia njia hiyo kuwasilisha ujumbe narudia asipo kupenda atatumia njia hiyo kuwasilisha ujumbe
Akikikupenda ata toka kwenye comfort zone "Communication" na kufanya kwa vitendo
Wanaume wengi wanalalamika "Ananipa mixed signals" kuna wakati anaonekana kama ananipenda kuna wakati she is so cold
Mimi huwa nawajibu "The medium is the message" kama yuko hivyo ni kwasababu she is not interested anaangalia option alizo nazo na "You are not her best option"
You must appreciate a woman ambae "Ametoka kwenye comfort zone yake akafanya kwa vitendo" she is a keeper
Wanaume wengi , wanakuwa kwenye mahusiano ambayo ni ya upande mmoja, mahusiano ya kuchosha na kugongewa kila mara kwasababu wanalazimisha kuwa kwenye mahusiano na "Wanawake ambao hawawapendi"
Unakuta mtu king'ang'anizi sehemu ambapo ameshaonyeshwa alama zote kuwa hatakiwi
Ukiwa na demu kwenye mahusiano ambae anakutafuta akiwa kwenye shida, ana mahitaji. Demu ambae inaweza ikapita mwezi hata miezi mpaka akutafute/umtafute
Ukimuuliza anakuambia "Kwani lazima tuongee kila siku?", "Nilipitiwa", "Nilikuwa busy", "Sikuwa na vocha"
Wewe ni kipi kingine unataka uonyeshwe ili uelewe?, yani kwenye nchi ambayo kuna wanawake wengi kuliko wanaume unachagua "Kuteswa na mapenzi"
Hapa ndio maana nawashauri ukiona mwanamke wa aina hii "Spin plate" go no contact na dont be exclusive na mwanamke wa aina hii
Azungukeee akirudi haimaanishi anakupenda, wewe jua hili
She is not interested, ukilazimisha utapigwa matukio akili ikae sawa
Hakikisha una reciprocate matendo mazuri anayo kufanyia mwanamke, that's is her way of showing interest
Inawezekana conversation inakufa akatumia nguvu kuiendeleza, hawezi kukaa bila kukutafuta, is she considerate (akiwa anafanya maamuzi anafikiria kama "Sisi" au "Mimi"
Mwanamke ambae hana interest na wewe anapenda kutumia neno "Mimi" zaidi anapoongelea future
Only be interested when she is interested, unajenga mahusiano ya pande mbili sio moja