mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,832
- 2,407
Baada yakuona mwandiko wangu ndo ukakumbuka zawadi eti?Nipo ...nna zawadi yako nitafute
Baada yakuona mwandiko wangu ndo ukakumbuka zawadi eti?Nipo ...nna zawadi yako nitafute
Baada yakuona mwandiko wangu ndo ukakumbuka zawadi eti?
Ukinipaga hela mbona nashukuru tuMarahabaaa!! Wewe haujawahi kushukuru?
Je baada ya mgegedo?Ukinipaga hela mbona nashukuru tu
Ukinipaga hela mbona nashukuru tu
Tunasubiri majibu
Mzima dada wa Daby WiFi yake bi mkubwa
Sijaanza badoJe baada ya mgegedo?
Ukinipaga hela mbona nashukuru tu
HongeraSijaanza bado
Mie mzima, sijui weye.Mzima dada wa Daby WiFi yake bi mkubwa
Mi wa afya teleMie mzima, sijui weye.
LAZIMA USEME, kushukuru MUHIMU..Unasemaga asante baada ya tendo la ndoa? Ama unafikiri haina haja ya kushukuru kwa maana ni haki yako? Mimi huwa ninashukuru wewe je?